Mkuu,
Samahani , wakati mwingine niandikapo huwa natumia falsafa Kali sana.
Niandike hivi ili uelewe :-
Ndege haijapotea, wala kutekwa ama kuzama baharini. Na hadi sasa hivi ndege ipo na inapiga kazi vizuri kabisa.
Ni hivi, walio ndani ya mhimili wa Dunia wanaelewa ndege ilipo tena na sababu za mahala ilipo na waliokuwamo.
Ila, walio nje ya mzunguko wa mhimili wa Dunia hawaelewi ndege ilipo ndiyo kama wewe na wengine wengi walioaminishwa kuwa imepotea Kwa taarifa za habari za nchi hizo husika na msaada wa vyombo vya nchi za magharibi.
Sikia iko hivi, siku ndege inaondoka pana watu walitiliwa shaka na Kweli walikuwa na infidelity evidences Kwa vigezo vya nchi hizo husika.
Ila, usiniulize kuhusu innocent passengers Kwa sababu " Always, a nation (s) hold a great weight than individuals".