The Doomed flight: Boeing 777 [MH370] Malaysia Airlines

The Doomed flight: Boeing 777 [MH370] Malaysia Airlines

Mkuu amani iwe nawe,sipendi kusoma ila imenivutia na sijachoka kuisoma,ikiwezekana wakati mwingine na mimi unitag unapotupia vitu vya maana kama hivi mkuu.
 
Mkuu amani iwe nawe,sipendi kusoma ila imenivutia na sijachoka kuisoma,ikiwezekana wakati mwingine na mimi unitag unapotupia vitu vya maana kama hivi mkuu.
Mkuu usijali tuombe uzima.....
 
Kuna vijineno kuwa huenda waisraeli waliiteka kwani kuna kifaa kilikuwa kinahamishwa toka Malaysia kwenda china ambacho ni walikuwa hawataki kingie mikononi mwa wachina au warusi
 
Yapo mengi sana ya kutilia shaka....

Kama kweli hatujui ilipo ndege hii basi kuna uongo juu ya namna umbo la dunia lilivyo....

inajulikana kwa wachache waliokuwa na mahusiano nayo.

mengi tu yatakuwa na mashaka jinsi tunavyoendelea kujiuliza maswali ndivyo unavyozidi kuelewa vitu mbalimbali na kujaribu kutafakari na kuona huku tuendapo kuna zaidi ya haya.
 
Muda mwingine huwa nawaza labda hii dunia ilivyo haipo kama tunavyofikiria...thanks Eiyer.
 
inajulikana kwa wachache waliokuwa na mahusiano nayo.

mengi tu yatakuwa na mashaka jinsi tunavyoendelea kujiuliza maswali ndivyo unavyozidi kuelewa vitu mbalimbali na kujaribu kutafakari na kuona huku tuendapo kuna zaidi ya haya.
Ni kweli kabisa....

Ujue inaonekana kama tupo kwenye stage halafu muziki unapigwa na watu fulani halafu tunaucheza kadiri ya wale wanaoupiga huo muziki.....

Lucy Dube aliwahi kusema kuwa maisha yetu yanaendeshwa kama mtu anavyoiendesha tv akiwa na remote control....
 
Kuna vijineno kuwa huenda waisraeli waliiteka kwani kuna kifaa kilikuwa kinahamishwa toka Malaysia kwenda china ambacho ni walikuwa hawataki kingie mikononi mwa wachina au warusi
Hii nayo ni moja ya dhana mkuu....
 
Muda mwingine huwa nawaza labda hii dunia ilivyo haipo kama tunavyofikiria...thanks Eiyer.
Inawezekana mkuu na inaonekana iko hivyo kwa namna nyingi sana.....
 
Ni kweli kabisa....

Ujue inaonekana kama tupo kwenye stage halafu muziki unapigwa na watu fulani halafu tunaucheza kadiri ya wale wanaoupiga huo muziki.....

Lucy Dube aliwahi kusema kuwa maisha yetu yanaendeshwa kama mtu anavyoiendesha tv akiwa na remote control....

kweli mkuu tunacheza beats zao hataukishindwa kucheza inabidi utikise kichwa tu

ngoja tuone tunakuoeleke maadamu tuweke kumbukumbu ya baadhi ya matukio
 
Sijawahi kufuatilia sana lakini inaonekana kama ni sehemu ya China kwa namna fulani....
maana tusiowahi kupanda ndege tushazoe kusikia Shangai China, Guangzou China, Beijing China ila Hong Kong ndio sehemu ya kwanza kujua kama iko China
 
Nafikiri ; Kutokana na mlolongo ulioonekana mimi binafsi naona kama ni mpango fulani.
uliopangwa na baadhi ya mataifa, kama kamali nipe pesa nikupe dhahabu. Dunia ina mambo mengi sana ,Labda ndege kama wasemavyo baadhi ya habari kwamba imetekwa ,kwa manufaa ya mataifa fulani, mambo ni mengi hao watu walio ndani ya ndege waweza kutumiwa hata kwa baadhi ya majaribio yao,maana plan za dunia ni nyingi sana;
na hilo dege yaweza kuwa lilibeba hivo vifaa nyeti unadhani wakilifikisha sehemu nyeti kabisa hao watu watawaachia?
Maana dunia ya sasa haina siri haiwezekani mataifa makubwa yashindwe kabisa kujua ndege ilipo ,yani i disappear bila trace yoyote,unbealivable! pamoja na mavifaa mazito ya uchunguzi yaliyopo duniani?


ndio maana baadhi ya mafile muhimu yalifutwa katika ufatiliaji na hata kufungwa kabisa hayo mambo ya uchunguzi kirahisi hivo.
kututoa sadaka kwa mambo yao mazito hawaonagi tabu kabisa Hao watu, huku kwetu wanatutoa sana sadaka Mara Ebola mara sijui nini....

Mungu atusaidie tusije kuwa ndani ya next plan[emoji26]
 
Sasa unasema ndege inajulikana ilipo halafu unasema tena watu hawajui...

Inakuwaje hapo mkuu?

Mkuu,
Samahani , wakati mwingine niandikapo huwa natumia falsafa Kali sana.

Niandike hivi ili uelewe :-

Ndege haijapotea, wala kutekwa ama kuzama baharini. Na hadi sasa hivi ndege ipo na inapiga kazi vizuri kabisa.


Ni hivi, walio ndani ya mhimili wa Dunia wanaelewa ndege ilipo tena na sababu za mahala ilipo na waliokuwamo.

Ila, walio nje ya mzunguko wa mhimili wa Dunia hawaelewi ndege ilipo ndiyo kama wewe na wengine wengi walioaminishwa kuwa imepotea Kwa taarifa za habari za nchi hizo husika na msaada wa vyombo vya nchi za magharibi.

Sikia iko hivi, siku ndege inaondoka pana watu walitiliwa shaka na Kweli walikuwa na infidelity evidences Kwa vigezo vya nchi hizo husika.

Ila, usiniulize kuhusu innocent passengers Kwa sababu " Always, a nation (s) hold a great weight than individuals".
 
Kwakweli kuhusiana na ndege hii huwa nadhani haikupotea tu kawaida, inaweza kuwa kulikuwa na sababu maalumu zilizopelekea ndege hii kupotea

Asante sana Mkuu Eiyer kwa makala hii ambayo nayo inazidi kuongeza maswali yasio na majibu kichwani kwangu kuhusiana na upotevu huu
 
kweli mkuu tunacheza beats zao hataukishindwa kucheza inabidi utikise kichwa tu

ngoja tuone tunakuoeleke maadamu tuweke kumbukumbu ya baadhi ya matukio
Ni kweli....

Kwakuwa hatutaki kuhoji na kujihoji acha tuendelee kucheza mchezp wanaoutaka "wao"....
 
Back
Top Bottom