The Doomed flight: Boeing 777 [MH370] Malaysia Airlines

JF vilaza wengi sana. Sasa wanakwambia wewe uandikie hiyo flight ni mtaalam wa mambo hayo? Yaani wanaanzaje kukufuata kukushawishi uandikie wakati kila kitu kipo kwenye mtandao ni suala la wao kujisomea tu. Ingekuwa ni mtaalam au mpelelezi wa hiyo ndege ningeelewa.sasa wanaanzaje kukufuata uje uelezee...
Wewe mwenyewe kilaza mkuu.
 
Ndege hiyo ya Malaysia ilipatwa na ‘ugonjwa’ kama ule uliozipata ndege za 9/11 ambayo tunajua kuwa tukio lile lilifanywa na utawala wa Bush mwenyewe.
 
Ndege zote aina ya Boeing 777 zimetengenezwa pamoja na ‘Black Box’ ambayo inaweza kuhimili mlipuko wa aina yeyote ule utakaoipata ndege hizo. Kisanduku hicho kinabeba taarifa zote muhimu yakiwemo mawasiliano ya hatua kwa hatua tangi ndege inapotokea mpaka inapo elekea.
Swali linakuja NI VIPI KIBOKSI HICHO KIMESHINDWA KUTUELEKEZA WAPI NDEGE ILIPO?
 
Back
Top Bottom