Van pebles
JF-Expert Member
- Oct 23, 2018
- 2,834
- 5,259
Nice
Wewe mwenyewe kilaza mkuu.JF vilaza wengi sana. Sasa wanakwambia wewe uandikie hiyo flight ni mtaalam wa mambo hayo? Yaani wanaanzaje kukufuata kukushawishi uandikie wakati kila kitu kipo kwenye mtandao ni suala la wao kujisomea tu. Ingekuwa ni mtaalam au mpelelezi wa hiyo ndege ningeelewa.sasa wanaanzaje kukufuata uje uelezee...
Hong Kong ni sehem ya china ila ina utaratibu wake wa kujiendesha, lilikuwa jimbo lililocheleweshwa kupata uhuru kutoka kwa MkoloniYeah HongKong sio china ni nchi nyingine kabisa hata Country code za China ni +86 na HongKong ni +85