Asante. Makala yako ni nzuri yenye mtiririko kwa mtu kuelewa. Ningeshauri saa ziwekwe kwa Kiswahili badala ya 6:00 asubuhi iwe saa 12:00 asubuhi.
Asante. Makala yako ni nzuri yenye mtiririko kwa mtu kuelewa. Ningeshauri saa ziwekwe kwa Kiswahili badala ya 6:00 asubuhi iwe saa 12:00 asubuhi.
unazingua we jamaa ndo nini kuli copy li thread lote afu unandika kidogo tuu c ungemwambia tu kawaida kwa kuandika bila kuli copy lithread lote...Asante. Makala yako ni nzuri yenye mtiririko kwa mtu kuelewa. Ningeshauri saa ziwekwe kwa Kiswahili badala ya 6:00 asubuhi iwe saa 12:00 asubuhi.
Ggukweli halisi upo kwenye hizi dhana mbili
1.majini ya dragons/bermuda triangle na
2.drones za kimarekani zilizokuwa zinaenda kuuzwa china
ni swala la muda tu tutajua
Mkuu,hata Bermuda triangle bado haina ushahidi wa uwepo wake achilia mbali hii ambayo unaisema wewe....
Sijakataa kuwa inaweza kuwepo lakini tatizo lake ni ushahidi mkuu...
Haya mambo ni magumu sana labda tuanze kuyatazama kwa jicho lingine kabisa mkuu....
Mkuu,hata Bermuda triangle bado haina ushahidi wa uwepo wake achilia mbali hii ambayo unaisema wewe....
Sijakataa kuwa inaweza kuwepo lakini tatizo lake ni ushahidi mkuu...
Haya mambo ni magumu sana labda tuanze kuyatazama kwa jicho lingine kabisa mkuu....
Mkuu,hata Bermuda triangle bado haina ushahidi wa uwepo wake yachilia mbali hiirr ambayo unaisema wewe....hhuurdd![]()
Hg
Sijakataa kuwa inaweza kuwepo lakini tatizo lake ni ushahidi mkuu...
Haya mambo ni magumu sana labda tuanze kuyatazama kwa jicho lingine kabisab mkuu....[hh/QUOTE]d
Uchawi upo lakini ukitaka ushahidi hautaupata kabisa. Flight 19, ilipotelea katika Bermuda triangle mwaka 1914, na hata ndege za kijeshi za US, idadi yake Sita zilizama wakati wa kuitafuta flight 19. Cha ajabu, katika Triangle ya Bermuda, baadhi ya vyombo vilivyopita vilikutwa viko salama kilomita kadhaa nje au ndani ya triangle lakini bila crew members, ina maana wamepotea katika thin air... Ndege ya Malaysia IMO ndani ya Dragon's triangle..Mkuu,hata Bermuda triangle bado haina ushahidi wa uwepo wake achilia mbali hii ambayo unaisema wewe....
Sijakataa kuwa inaweza kuwepo lakini tatizo lake ni ushahidi mkuu...
Haya mambo ni magumu sana labda tuanze kuyatazama kwa jicho lingine kabisa mkuu....
Hili la kukutwa kwa vyombo vikiwa havina wafanyakazi ni jipya kabisa kwangu....Uchawi upo lakini ukitaka ushahidi hautaupata kabisa. Flight 19, ilipotelea katika Bermuda triangle mwaka 1914, na hata ndege za kijeshi za US, idadi yake Sita zilizama wakati wa kuitafuta flight 19. Cha ajabu, katika Triangle ya Bermuda, baadhi ya vyombo vilivyopita vilikutwa viko salama kilomita kadhaa nje au ndani ya triangle lakini bila crew members, ina maana wamepotea katika thin air... Ndege ya Malaysia IMO ndani ya Dragon's triangle..
simu za abiria wa kwny ndege zilikuwa zina ita kwa mujibu wa ndugu zao nilickia hii habari BBC me piaSimu za abiria au akina nani mkuu?
mda mchache baada ya kupotea na ni simu ya captain msaidizi Fariq Abdul Hamid ilitaa ghafla ikakatikaHili jambo lilitokea baada ya muda gani ndege kupotea?
Hata Tanzania nayo wanajua kiongoziMarekani,urusi,thailand,na ruban wanajua hyo ndege ilipo