The Doomed flight: Boeing 777 [MH370] Malaysia Airlines

The Doomed flight: Boeing 777 [MH370] Malaysia Airlines

Mkuu hiii ndege ilianguka na kuzama moja kwa moja baharini kama ilivyo. So far binadamu tunajua zaidi kuhusu space ambayo ni endless kuliko bahari ambayo ipo ndani ya sayari yetu. Tunajua approx 5% tu ya deep Sea, hivyo kitu kikienda chini kabisa sehemu ambazo bado ni unexplored basi tusahau. Hata hiyo ndege ya US Navy P-8A yenye uwezo wa juu katika kuchunguza vitu baharini kuna sehemu kibao za deep Sea haiwezi toboa.

Bado hatuna vyombo vinavyoweza kuwithstand extreme pressure na giza uvunguni mwa bahari.

Ushahidi kuwa ilianguka na kuzama moja kwa moja baharini ni upi?

Na ni bahari ipi?

Ukweli ni kwamba hakuna anayejua kilichoisibu hiyo ndege na hakuna ajuaye, mpaka kufikia sasa, mahali ilipo hiyo ndege.

Kilichopo ni nadharia tu na mojawapo ya hizo nadharia ni kama hiyo uliyoitoa wewe.

Nadharia zingine ukizisikia utacheka sana.
 
Dhana ya upande wa pili wa Bermuda (Dragon's triangle) inahusika. Dragon's triangle inayopatikana kati ya kisiwa cha miyake jima ( Japan), kisiwa cha wake(Bahari ya Pacific), na pwani ya Ufilipino. Triangle hii, ni kubwa kuliko ile ya Bermuda. Triangle hii, inatembea(inabadilika badilika) eneo ilipo. Kwa hiyo triangle hii huenda mpaka pwani ya China na hats Vietnam. Ndege hiyo ya Malaysia, iliingia katika Triangle ya Dragon.na hii triangle, na deadly kuliko ile ya Bermuda. Kumbukeni flight 19 iliyopotea katika Bermuda triangle, mabaki yake wala askari waliokuwa ndani yake mpaka Leo haijapatikana. Triangle hizi mbili ni (Bermuda, na Dragon's), ni gate way to Hell itself, au ni "Stargate".
 
kuna nadharia moja sijaiona hapo kwenye hizo dhana...
wapo wanaosema taliban waliwahi kufanikiwa kuangusha drone moja ya US.
wakaingia dili na China ili wauziwe hiyo drone ili wapate ujuzi wa jinsi ya kuengeneza au kuzihujumu hizo drones za US...
Katika hiyo ndege inasemekeana hao jamaa ndio walikuwa wanaambaa na parts za hiyo drone to China baada ya dili kukamilika na US akafanya yake...

hapo ni katika ulimwengu wa dhana na nadharia au conspirancy kuhusu hiyo ndege...
Ila ukweli uliopo hakuna ajuae...
 
Kuna Watanzania wengi inasemekana lakini
kuwa wametajirika na ndege hiyo au ndege zingine zilizopata ajali na mabaki ya vitu
vya thamani kutoka kwenye mizigo yakawafikia kwenye visiwa vya mkoa wa lindi na pwani

habari hizo nilizipata kimbiji huko nikaoneshwa watu wanaodaiwa kupata mabegi huko baharini yenye vito....sijui ukweli wake zaidi ya kuwa nimesikia tu
Inawezekana,lakini ni ngumu sana wale jamaa waliokuwa wanaisaka ndege hii wasipate mabaki yake kama kweli ilipata ajali....

Inawezekana hao watu huwa wanapata utajiri kutokana na ndege zinazopata ajali lakini inawezekana siyo hii...
 
Mkuu hiii ndege ilianguka na kuzama moja kwa moja baharini kama ilivyo. So far binadamu tunajua zaidi kuhusu space ambayo ni endless kuliko bahari ambayo ipo ndani ya sayari yetu. Tunajua approx 5% tu ya deep Sea, hivyo kitu kikienda chini kabisa sehemu ambazo bado ni unexplored basi tusahau. Hata hiyo ndege ya US Navy P-8A yenye uwezo wa juu katika kuchunguza vitu baharini kuna sehemu kibao za deep Sea haiwezi toboa.

Bado hatuna vyombo vinavyoweza kuwithstand extreme pressure na giza uvunguni mwa bahari.
Mkuu,na rada je?
 
kuna nadharia moja sijaiona hapo kwenye hizo dhana...
wapo wanaosema taliban waliwahi kufanikiwa kuangusha drone moja ya US.
wakaingia dili na China ili wauziwe hiyo drone ili wapate ujuzi wa jinsi ya kuengeneza au kuzihujumu hizo drones za US...
Katika hiyo ndege inasemekeana hao jamaa ndio walikuwa wanaambaa na parts za hiyo drone to China baada ya dili kukamilika na US akafanya yake...

hapo ni katika ulimwengu wa dhana na nadharia au conspirancy kuhusu hiyo ndege...
Ila ukweli uliopo hakuna ajuae...
Ni kweli mkuu,pia nadharia kuhusu hii ndege ziko nyingi sana na sijaweka zote lakini ukweli bado haujajulikana kama ulivyosema hapo juu....

Inawezekana baadaye tukaja kuelewa zaidi mkuu...
 
Dhana ya upande wa pili wa Bermuda (Dragon's triangle) inahusika. Dragon's triangle inayopatikana kati ya kisiwa cha miyake jima ( Japan), kisiwa cha wake(Bahari ya Pacific), na pwani ya Ufilipino. Triangle hii, ni kubwa kuliko ile ya Bermuda. Triangle hii, inatembea(inabadilika badilika) eneo ilipo. Kwa hiyo triangle hii huenda mpaka pwani ya China na hats Vietnam. Ndege hiyo ya Malaysia, iliingia katika Triangle ya Dragon.na hii triangle, na deadly kuliko ile ya Bermuda. Kumbukeni flight 19 iliyopotea katika Bermuda triangle, mabaki yake wala askari waliokuwa ndani yake mpaka Leo haijapatikana. Triangle hizi mbili ni (Bermuda, na Dragon's), ni gate way to Hell itself, au ni "Stargate".
Mkuu,hata Bermuda triangle bado haina ushahidi wa uwepo wake achilia mbali hii ambayo unaisema wewe....

Sijakataa kuwa inaweza kuwepo lakini tatizo lake ni ushahidi mkuu...

Haya mambo ni magumu sana labda tuanze kuyatazama kwa jicho lingine kabisa mkuu....
 
Back
Top Bottom