chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,742
zanzibar ndio mlango wa kupitisha magaidi na kuchukua vijana wetu.
magaidi wengi wanatumia sehemu hiyo sana.
hata ripoti ya kibiti na mkuranga walitokea huko.
tanga amboni walitokea huko.
kipindi cha mwalimu miaka hiyo kule iringa walitokea huko.
mtwara na mozambique walitokea huko.
kuna upelelezi mwingi ambao jeshi la polisi na TISS mpaka wakumbushwe na CIA ila wapo bize na CCM kulinda chama
magaidi wengi wanatumia sehemu hiyo sana.
hata ripoti ya kibiti na mkuranga walitokea huko.
tanga amboni walitokea huko.
kipindi cha mwalimu miaka hiyo kule iringa walitokea huko.
mtwara na mozambique walitokea huko.
kuna upelelezi mwingi ambao jeshi la polisi na TISS mpaka wakumbushwe na CIA ila wapo bize na CCM kulinda chama