hahahahaah huduma za kiroho zahitajika mkuu! Nadhani mshahara wako huo na malupu lupu yako vipunguzwe
huyo wa kati anakaa kama rejao!! Heheheh...
kuna mfanyakazi hapo namuona kibonge kuliko hata bosi!
Yaelekea huyo ni an Accoutant!
basi nitampunguza huyo kwanzaanatakuwa kitengo cha procurement.
hahah..... lol!Huyo wa kati anakaa kama REJAO!! heheheh...
haha.. The Boss,,,tena wamekutaja kabisa! hapo hukwepi!na atakuwa wa kwanza kupunguzwa lol
Kwi kwiii imetuliaaaa
basi nitampunguza huyo kwanza
halafu kitengo nakihamishia kwangu lol
That does not sound like Boss at al' yaani utishike mpaka umfukuze kazi??