The Bold: Shukrani Wakuu

The Bold: Shukrani Wakuu

tetesi zilizonifikia mezani kwangu kumbe na wewe ni " mwanaidara ". najua idara itakuwa inajivunia uwepo wa vijana " imara " kama wewe. hongera mdogo wangu.
Leo "umejisahau" nilikugundua kitambo sana
Na kwa mwandiko huu ndo nimethibitisha bila shaka kuwa ww ndo GENTA na hiki kiID chako unatumiaga kuja kule KF kutukana
Njia ya mwongo fupi

FEKELO 100%
....................
 
Mungu wangu! Am speechless.
Sikuwahi kufikiri kama ipo siku nami nitakuwepo katika list yako ya kukumbukwa!
What a honour?
Asante sana The bold.

Ni kweli kabisa, nakiri tulikuwa maadui wakubwa sana.
Kila tulipokutana ktk threads tuliumana kwelikweli, namshukuru Mungu kwa busara alizokujaalia maana siku zote ulijishusha wewe.

Nakupongeza kwa aina ya makala ulizoamua kuja nazo ndizo zilizonifanya niweke silaha chini na kuomba kuimaliza vita.

Kupitia kwako nimejifunza mengi kubwa zaidi ya yote ni kumheshimu kila mtu.
Nilikuchukia kipindi kile,sikuwahi kufikiri kama una akili kubwa kiasi cha kunifanya nianze kuvutiwa nawe.
Hivi sasa nimebadilika sana,namheshimu kila mtu humu JF,nimeamua kwa nia ya dhati kuachana na vita vya maneno na members humu.

Never say never,nobody knows tomorrow...
Leo hii wewe niliyekuchukia ndiye kitu cha kwanza kunijea ktk akili yangu kila niamkapo.
Lazima nikutafute nikutakie asubuhi njema ndipo mambo mengine yaendelee.

Nakutakia kila la kheri katika makala zako za kusimumua,daima nitakuwa nawe bega kwa bega.
You got my full support my love...
#TheBoldIsMine#
Story yenu inasisimua kwakweli never say never....

Hongereni sana na Mungu awajalie ktk mahusiano yenu my dear

Msinisahau kwenye card ya mwaliko tu jamani
 
Mkuu mimi sio ndugu The bold ,lakini mimi pia ni "mwanafunzi" na "mfuasi" mkubwa wa huyu jamaa,mpaka "kijiweni" kwangu kuna mtu huwa anadadavua mambo mpaka tumempa jina la The bold

Note:Nje ya JF mimi ni mtu mkimya sana,naongea kwa nadra sana
Hupati changamoto na huo ukimya wako?
 
Hapana Valentina sijawahi kukutana na hali hiyo
Mkuu barafu, heshima kubwa sana kwako.. Nimejifunza mengi sana kupitia nyuzi zako na michango yako kwenye nyuzi mbali mbali! Naamini JF yote inajivunia kuwa na mtu wa kaliba yako humu..

Naamini 2017 utaendelea kuwa kwenye ubora wako na kutuletea vitu adhimu..

Salute Mkuu..
 
The Bold: hongera kwa kuiwakilisha na kuitendea haki ID yako siyo tu kwa michango ila pia kuthubutu (being bold) kuleta uzi huu.

Baadhi ya mada na michango yako sikuunga mkono lakini hakika umeifahamisha, bila woga, wanaJF unachoamini.

KEEP IT UP in the coming year. Some more contributions are expected of you.
Pamoja sana Mkuu! Shukrani sana..
 
Leo "umejisahau" nilikugundua kitambo sana
Na kwa mwandiko huu ndo nimethibitisha bila shaka kuwa ww ndo GENTA na hiki kiID chako unatumiaga kuja kule KF kutukana
Njia ya mwongo fupi

FEKELO 100%
....................
Hhaha Genta ni kwere ana Id kibao
Nataja initials ya hizo id zake

E1
CK
CB
LB
BR
GM

Zingine ngoja niziache
 
Back
Top Bottom