The Bold: Shukrani Wakuu

The Bold: Shukrani Wakuu

Hahahaaaa nami nlikua nasubiri nikuone. Loving yo r temper
Coz I love him you know...
It's like
b18db1fb2d1fb8f2c29395d748c0dce3.jpg

 
Mkuu The bold Sina hata chakusema zaidi ya kukuombea mafanikio zaidi, ur very bright katika uandishi, kusoma na kuelewa vitu. Hicho ni kipaji na Mungu akujalie baraka tele. Nawish siku moja nianze kusoma vitabu vyako. Hongera Nifah umepata bby mwenye hekima kama ulikua hujaolewa basi shikilia hapo.
 
Mkuu The bold Sina hata chakusema zaidi ya kukuombea mafanikio zaidi, ur very bright katika uandishi, kusoma na kuelewa vitu. Hicho ni kipaji na Mungu akujalie baraka tele. Nawish siku moja nianze kusoma vitabu vyako. Hongera Nifah umepata bby mwenye hekima kama ulikua hujaolewa basi shikilia hapo.
Asante mkuu,natamani nikueleze ni kiasi gani namshukuru Mungu kwa huyu kijana lakini nakosa maneno sahihi ya kusema.
Na nikisema niseme yote nitajaza server!
Anyways...my goals are
:Be with him

:Marry him

😀ie old with him together

Nampenda,daima sitomuacha aende.
Asante.
 
Asante mkuu,natamani nikueleze ni kiasi gani namshukuru Mungu kwa huyu kijana lakini nakosa maneno sahihi ya kusema.
Na nikisema niseme yote nitajaza server!
Anyways...my goals are
:Be with him

:Marry him

😀ie old with him together

Nampenda,daima sitomuacha aende.
Asante.
Hebu sema japo kidogo bibie nasie tutiwe nguvu buana
 
Mkuu The bold Sina hata chakusema zaidi ya kukuombea mafanikio zaidi, ur very bright katika uandishi, kusoma na kuelewa vitu. Hicho ni kipaji na Mungu akujalie baraka tele. Nawish siku moja nianze kusoma vitabu vyako. Hongera Nifah umepata bby mwenye hekima kama ulikua hujaolewa basi shikilia hapo.
Nashukuru sana Mkuu kijana wa leo
Thank you for the support.. Thank you pia kwa kututakia heri mimi na mtoto mzuri..
 
Asante mkuu,natamani nikueleze ni kiasi gani namshukuru Mungu kwa huyu kijana lakini nakosa maneno sahihi ya kusema.
Na nikisema niseme yote nitajaza server!
Anyways...my goals are
:Be with him

:Marry him

😀ie old with him together

Nampenda,daima sitomuacha aende.
Asante.

Awwwww this is too sweet.! Thank you mama..
Also wish the same, let's get old together
 
Never say never,nobody knows tomorrow...
Leo hii wewe niliyekuchukia ndiye kitu cha kwanza kunijea ktk akili yangu kila niamkapo.
Lazima nikutafute nikutakie asubuhi njema ndipo mambo mengine yaendelee.

Nakutakia kila la kheri katika makala zako za kusisimua,daima nitakuwa nawe bega kwa bega.
You got my full support my love...
#TheBoldIsMine#
Gud haswa hapo mwishoni....
 
"This is slavery, not to speak one's thought."
- Euripides

# FreeMaxenceMelo
#TheBold'sForMelo
 
Back
Top Bottom