The Bold: Shukrani Wakuu

The Bold: Shukrani Wakuu

Heee usinisahau shoga angu tumetoka mbali hivyoo.. nakupendaga mwaya shoga angu wa mie..

Love you nifah...
Witness naanzaje kukusahau mpenzi?Tumetoka mbali zaidi ya mbali,tumepiga umbea na kusaidiana mambo kadha wa kadha.

Asante kwa kuwa happy kwetu mimi na shemejiyo.
I'll never forget your kind darling.
Nakupenda zaidi
 
Duuuh mnavyopendanaa hadi nawaonea wivu maana mimi sijawahi kuwa na rafiki wa kunipenda hivi
tumejuana hapa jf tukamianiana,tukapendana kwa kweli!!

ktk maisha popote waweza mpata mtu sahihi cha msingi ni kuangalia yupi mnaendana

halafu mm humu siwezagu kugombana ujue na nifah nlitokea kumuamini basi ikawa marafiki sasa na umbea pia...!!
 
tumejuana hapa jf tukamianiana,tukapendana kwa kweli!!

ktk maisha popote waweza mpata mtu sahihi cha msingi ni kuangalia yupi mnaendana

halafu mm humu siwezagu kugombana ujue na nifah nlitokea kumuamini basi ikawa marafiki sasa na umbea pia...!!
Hongereni kwa kweli
 
Hizi Ni salamu zangu kwako
Ni Mimi kifaranga Mtoto wa kuku mjukuu wa babu jogoo
Nakusalimia
 
Kiukweli kabisa kutoka moyoni naomba nikushukuru kwa namna ya kipekee.
Wewe ni loyal fan wangu,long time.
Asante kwa kunikubali na kuendelea kuniamini katika suala nyeti la ubuyu .
Am really humbled
My sista worry out,tuko pamoja sana JF ni jumba linalokutanisha familia kuubwa sana.
Allah akufanyie wepes 2017
 
Simfahamu huyu The Bold au nimewahi kusoma na kuchangia makala zake bila kuzingatia jina la mtunzi. Kuanzia leo nitamfatilia.
 
Back
Top Bottom