trudie
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 4,546
- 11,132
Ngoja nijiwekee simu chaji kabisa 😀😀😀Huyo funga kazi kuliko wote humu😅
Anajaza coster, alafu alivyo hana noma anawabless na connection 😅😅
Ngoja nijiwekee simu chaji kabisa 😀😀😀Huyo funga kazi kuliko wote humu😅
Anajaza coster, alafu alivyo hana noma anawabless na connection 😅😅
😹😹😹 Au sioWapo wenye pesa wana sifa , na pesa wanazo sio kitoto ,nina mwanangu mmoja hapo kariakoo ,pesa anazo sifa anazo sio kitoto
Ila nimemmiss dada, hivi yupo au ulishamtimua?😅Unataka kunisingizia kwendraa zako 😹😹
Weka chaji mapema😅Ngoja nijiwekee simu chaji kabisa 😀😀😀
Akija Antonia hapa atafukua makaburi yako kwa greda kabisa si umemchokoza hapo....halafu ushaniponza na mimi ninayeshadadia 😀😀😀😀Siku hizi nimekua na kichwa kizito, sijaelewa hii comment aisee😅
Tena wapole wastaarabu ila kaburi likifukuliwa ndio utajua ujui. Sitajaribu 😀😀Usijaribu utaaibika ndugu yangu..!!
Wanaume wa humu km bahari wengine wanaoga kawe, wengine bagamoyo na wengine kigamboni..!!
Jimalize likukute jambo, si unakumbuka Mrs none alivyotupa ubuyu alitaka kuliwa na Miongozo na washaplan pa kukutania..!!
Na hapo walipangwa km kijiji 😹😹😹
Boya yule, afukue wapi😅Akija Antonia hapa atafukua makaburi yako kwa greda kabisa si umemchokoza hapo....halafu ushaniponza na mimi ninayeshadadia 😀😀😀😀
Kwani ukimtaka kuna shida gani? 😹😹Sijawahi kufikia hatua hiyo bana labda niamue kumzingua tu lakini sio eti kumtaka kabisa
Ile siku aliwapaka na coca nikabaki nacheka 😹😹😹Ngoja nijiwekee simu chaji kabisa 😀😀😀
We shoga upo?Huyu nifah kama Antonia tu aisee😅
Hadi sasa nimehesabu wapo watano
Nnatamani kuuuliza swali fulani lakini naogopaa🤣🤣🤣🤣......mrs none, coca, trudie wote alituweka kwenye mstari 🤣🤣🤣Ile siku aliwapaka na coca nikabaki nacheka 😹😹😹
Zile nguvu zilitokana na mimba ndiomana nikatulia nisije kumuharibia mtoto udugu wangu, ninavyompenda alete baby girl 🥰🥰
Kizuri kula na nduguyo bwana haiwezekani umsifie bebe wako halafu tukae kizembe weeeKwani ukimtaka kuna shida gani? 😹😹
Halafu humu bana ukimsifia mwanaume ukijifanya mpenzi wako basi mademu wengine wanakuja kujichekesha kusudi ili waone yaliyomo yamo..!! Hii ilinitokea kwako nilikua nacheka sana..!! 🤣🤣😹😹
Hivi hukushangaa ulipata marafiki wengi ghafla? 😹
Siku hizi namtania chino utani tayari wako kujiweka, wataliwa kwa mkopo we waache wajimix..!! Mi nawajazaga mwenzao 🤣
Ofisi ya Forex yule ya jamaa alikuwa anaitwa Ontario kama sikosei ndio bidada alikuwa anafanya kazi huko na picha alikuwa anapost sana kutafuta wateja. mengine ongezea kwa dots....maana nyuki hawakawii kuja kung'ata kwa makundi humu Lamomy
walikuwa kaziniUle mchongo wa forex wa tapeli ontario kumbe na huyu nifah alikuwemo? So walikua wanashirikiana na Ontario kutapeli? Sasa nimeanza kuelewa. Huyo bold nae alikuwemo?
Nifah
Mbona sijawahi kuona hilo😅Kwani ukimtaka kuna shida gani? 😹😹
Halafu humu bana ukimsifia mwanaume ukijifanya mpenzi wako basi mademu wengine wanakuja kujichekesha kusudi ili waone yaliyomo yamo..!! Hii ilinitokea kwako nilikua nacheka sana..!! 🤣🤣😹😹
Hivi hukushangaa ulipata marafiki wengi ghafla? 😹
Siku hizi namtania chino utani tayari wako kujiweka, wataliwa kwa mkopo we waache wajimix..!! Mi nawajazaga mwenzao 🤣
Tayari ushalowa?😅We shoga upo?
Yeah na baada ya kujirusha waliandika wengine kumuonea hapo ofisiniNdio alikuwa secretary ofisini pale kama sikosei. Kuhusu huyo Bold sijajua kama alikuwemo pia. Niffa ninasema sababu nilishamsindikiza mtu pale Jangid Plaza nikamwona siku zimetumwa picha hapa nikamkumbuka.
Hapo sasa nakuelewa vizuri sana😅walikuwa kazini
huyo alikuwa kama kawapa dili la kazi na kufundishwa
huyo hakudili na waliotoka humu kuvhezesha yake, bali alipata wateja humu wakiwemo
sifikiri hadi leo walijuana kabla nje ya humu JF
NIffah hakudate na Ontario bali alikuwa boss wake jamani kwa jinsi ninavyokumbuka mimi. Ila sijui chini ya kapeti maana humu kuna mengi
Ile kapo ilikuwa strong mno. Hata sijui kilitokea nini jamani wakalala yooooYeah na baada ya kujirusha waliandika wengine kumuonea hapo ofisini
Ndio secretary na kama receptionist pia, na ni kama Bold alimpa konektion alipoenda kwa ya huyo mwenye ofisi nae akawa anakuwepo. couple walivyopendana
wameacha historia humu
ilinogesha wengine kupenda kukutana na watu humu wa umri wao sijui wenu 😀