The 100 Most Influential Africans of 2020, Ni Hawa!, Kama JPM, Mo, Diamond, Samatta Hawapo, Then It Must Be Fake List!,ila Kuna Mtanzania 1, Gues Who?

Wanabodi

The much anticipated annual listing of the 100 Most Influential Africans of 2020 published by the continent’s premier pan-African publication, London-based New African magazine imetangazwa leo.

List hiyo iliyogawanywa katika mafungu manne, four categories of Leaders; Pathfinders; Creatives; and Icons.

Kundi la kwanza ni la viongozi, kwa mambo makubwa rais Dr. John Pombe Joseph Magufuli aliyoyafanya, kwenye vita dhidi ya janga la Corona, nilitegemea JPM ndie ange top the list, but to my surprise, hayumo!, wamekuja kumuweka Paul Kagame!, hata kwa Uganda badala ya kumuweka Museveni, wamemuweka Bobbi Wine!. Hawa watu vipi?.

Kwenye kundi ma Icons nilitegemea Diamond Platinum lakini hayumo!. Katika matajiri nilimtegemea Bakhressa au Mo!.

Kwenye wana sports nilimtegemea Mbwana Samatta wapi!.

Kwenye list hiyo kuna 36 women, and 64 men. Yaani kati ya wanawake wa maana wa bara hili, hakuna Mtanzania zaidi ya huyo 1?!. Yaani kati ya wanaume 64 wa bara hili la Africa, hakuna Mtanzania hata mmoja?. Mimi siamini na huu ni ubaguzi!. Yaani kwenye list hiyo ku WaNigerians 24!, akiwemo baba Dangote na Bintiye!, kuna wa South Africans, 15!, Ghanaians 8, from Cameroon 6, yaani Tanzania tunapitwa hata na Zimbabwe ambayo ina 5, Ethiopia ina 3 and Uganda 3, Kenya ina 3, halafu Tanzania ! tuu?!.

Kwenye mambo ya muziki, Arts and Culture kuna watu 30 halafu Diamond wetu hayumo!. Kwenye Politics and Public Service kuna watu 23 halafu Magufuli wetu hayumo!. Kwenye Business and Finance kuna watu 15, halafu Bakhresa wetu, Mo Dewji wa Manji hawapo!. Kwenye Science, Tech and Innovation kuna watu 9, kwa jinsi tuu tulivyoishinda Corona kwa kupiga nyungu!, hapa tungepaswa tuwemo lakini nil!. Is this fair or hii ni fake list?!.

Hata hivyo, kwenye list hiyo, kuna Mtanzania mmoja tuu!. Guess who....?!

Ngoja nikuwekee the full list kwanza halafu tuje kwa huyu Mtanzania.
Mtanzania ni
Rebeca Z. Gyumi is a Founder & Executive Director at Msichana Initiative, a Tanzanian NGO which aims to empower a girl child through education, and address key challenges which limit girl’s right to education.

Winning the battle against child marriagesCivil Society & Activism
Tanzania has the 11th-highest absolute number of child brides in the world, according to UNICEF. With at least 779,000 child brides, two out of five girls living in the East African country are married before their 18th birthday.

Previously, girls in Tanzania could marry at the age of 14. In January 2016, Gyumi, a lawyer and social activist, decided to fight against this law.

She embarked on a mission to change it and empower girls in Tanzania. Following her campaign, in July 2016, sections 13 and 17 of the Marriage Act were ruled unconstitutional. Most notably, the Tanzanian government appealed against the 2016 landmark ruling.
However, in October this year, the government lost the appeal – the 2016 ruling has been upheld.

Paskali
Huyo hata kwao chato hakubaliki,labda kule burundi alikozaliwa
 
Mwanaharakati wa kweli huonekana . Mwanaharakati ni mtu anayependa kubadilisha mfumo ili kwenda ktk mfumo chanya kutoka katika mapungufu. Hivyo anastahili. Hongera sana kwa mtanzania huyu kuonesha uthubutu kwa kutaka mabadiliko chanya.


Amestahili
 
Wanabodi

The much anticipated annual listing of the 100 Most Influential Africans of 2020 published by the continent’s premier pan-African publication, London-based New African magazine imetangazwa leo.
Unaiona Fake List ONLY because Magu hayupo!!!

Sorry bra for that paper getting you disappointed... Magu watu washamshitukia! Kama vipi walipeni tena Forbes Africa watoe featured article ya kusifia kama mlivyofanya last year kabla sijawaumbua!!
 
Mwanaharakati wa kweli huonekana . Mwanaharakati ni mtu anayependa kubadilisha mfumo ili kwenda ktk mfumo chanya kutoka katika mapungufu. Hivyo anastahili. Hongera sana kwa mtanzania huyu kuonesha uthubutu kwa kutaka mabadiliko chanya.

Wanabodi

The much anticipated annual listing of the 100 Most Influential Africans of 2020 published by the continent’s premier pan-African publication, London-based New African magazine imetangazwa leo.

List hiyo iliyogawanywa katika mafungu manne, four categories of Leaders; Pathfinders; Creatives; and Icons.

Kundi la kwanza ni la viongozi, kwa mambo makubwa rais Dr. John Pombe Joseph Magufuli aliyoyafanya, kwenye vita dhidi ya janga la Corona, nilitegemea JPM ndie ange top the list, but to my surprise, hayumo!, wamekuja kumuweka Paul Kagame!, hata kwa Uganda badala ya kumuweka Museveni, wamemuweka Bobbi Wine!. Hawa watu vipi?.

Kwenye kundi ma Icons nilitegemea Diamond Platinum lakini hayumo!. Katika matajiri nilimtegemea Bakhressa au Mo!.

Kwenye wana sports nilimtegemea Mbwana Samatta wapi!.

Kwenye list hiyo kuna 36 women, and 64 men. Yaani kati ya wanawake wa maana wa bara hili, hakuna Mtanzania zaidi ya huyo 1?!. Yaani kati ya wanaume 64 wa bara hili la Africa, hakuna Mtanzania hata mmoja?. Mimi siamini na huu ni ubaguzi!. Yaani kwenye list hiyo ku WaNigerians 24!, akiwemo baba Dangote na Bintiye!, kuna wa South Africans, 15!, Ghanaians 8, from Cameroon 6, yaani Tanzania tunapitwa hata na Zimbabwe ambayo ina 5, Ethiopia ina 3 and Uganda 3, Kenya ina 3, halafu Tanzania ! tuu?!.

Kwenye mambo ya muziki, Arts and Culture kuna watu 30 halafu Diamond wetu hayumo!. Kwenye Politics and Public Service kuna watu 23 halafu Magufuli wetu hayumo!. Kwenye Business and Finance kuna watu 15, halafu Bakhresa wetu, Mo Dewji wa Manji hawapo!. Kwenye Science, Tech and Innovation kuna watu 9, kwa jinsi tuu tulivyoishinda Corona kwa kupiga nyungu!, hapa tungepaswa tuwemo lakini nil!. Is this fair or hii ni fake list?!.

Hata hivyo, kwenye list hiyo, kuna Mtanzania mmoja tuu!. Guess who....?!

Ngoja nikuwekee the full list kwanza halafu tuje kwa huyu Mtanzania.
Mtanzania ni
Rebeca Z. Gyumi is a Founder & Executive Director at Msichana Initiative, a Tanzanian NGO which aims to empower a girl child through education, and address key challenges which limit girl’s right to education.

Winning the battle against child marriagesCivil Society & Activism
Tanzania has the 11th-highest absolute number of child brides in the world, according to UNICEF. With at least 779,000 child brides, two out of five girls living in the East African country are married before their 18th birthday.

Previously, girls in Tanzania could marry at the age of 14. In January 2016, Gyumi, a lawyer and social activist, decided to fight against this law.

She embarked on a mission to change it and empower girls in Tanzania. Following her campaign, in July 2016, sections 13 and 17 of the Marriage Act were ruled unconstitutional. Most notably, the Tanzanian government appealed against the 2016 landmark ruling.
However, in October this year, the government lost the appeal – the 2016 ruling has been upheld.

Paskali

 
Wanabodi

The much anticipated annual listing of the 100 Most Influential Africans of 2020 published by the continent’s premier pan-African publication, London-based New African magazine imetangazwa leo.

List hiyo iliyogawanywa katika mafungu manne, four categories of Leaders; Pathfinders; Creatives; and Icons.

Kundi la kwanza ni la viongozi, kwa mambo makubwa rais Dr. John Pombe Joseph Magufuli aliyoyafanya, kwenye vita dhidi ya janga la Corona, nilitegemea JPM ndie ange top the list, but to my surprise, hayumo!, wamekuja kumuweka Paul Kagame!, hata kwa Uganda badala ya kumuweka Museveni, wamemuweka Bobbi Wine!. Hawa watu vipi?.

Kwenye kundi ma Icons nilitegemea Diamond Platinum lakini hayumo!. Katika matajiri nilimtegemea Bakhressa au Mo!.

Kwenye wana sports nilimtegemea Mbwana Samatta wapi!.

Kwenye list hiyo kuna 36 women, and 64 men. Yaani kati ya wanawake wa maana wa bara hili, hakuna Mtanzania zaidi ya huyo 1?!. Yaani kati ya wanaume 64 wa bara hili la Africa, hakuna Mtanzania hata mmoja?. Mimi siamini na huu ni ubaguzi!. Yaani kwenye list hiyo ku WaNigerians 24!, akiwemo baba Dangote na Bintiye!, kuna wa South Africans, 15!, Ghanaians 8, from Cameroon 6, yaani Tanzania tunapitwa hata na Zimbabwe ambayo ina 5, Ethiopia ina 3 and Uganda 3, Kenya ina 3, halafu Tanzania ! tuu?!.

Kwenye mambo ya muziki, Arts and Culture kuna watu 30 halafu Diamond wetu hayumo!. Kwenye Politics and Public Service kuna watu 23 halafu Magufuli wetu hayumo!. Kwenye Business and Finance kuna watu 15, halafu Bakhresa wetu, Mo Dewji wa Manji hawapo!. Kwenye Science, Tech and Innovation kuna watu 9, kwa jinsi tuu tulivyoishinda Corona kwa kupiga nyungu!, hapa tungepaswa tuwemo lakini nil!. Is this fair or hii ni fake list?!.

Hata hivyo, kwenye list hiyo, kuna Mtanzania mmoja tuu!. Guess who....?!

Ngoja nikuwekee the full list kwanza halafu tuje kwa huyu Mtanzania.
Mtanzania ni
Rebeca Z. Gyumi is a Founder & Executive Director at Msichana Initiative, a Tanzanian NGO which aims to empower a girl child through education, and address key challenges which limit girl’s right to education.

Winning the battle against child marriagesCivil Society & Activism
Tanzania has the 11th-highest absolute number of child brides in the world, according to UNICEF. With at least 779,000 child brides, two out of five girls living in the East African country are married before their 18th birthday.

Previously, girls in Tanzania could marry at the age of 14. In January 2016, Gyumi, a lawyer and social activist, decided to fight against this law.

She embarked on a mission to change it and empower girls in Tanzania. Following her campaign, in July 2016, sections 13 and 17 of the Marriage Act were ruled unconstitutional. Most notably, the Tanzanian government appealed against the 2016 landmark ruling.
However, in October this year, the government lost the appeal – the 2016 ruling has been upheld.

Paskali

Taarifa nzuri unaichomekea kwenye likichwa la habari la kipumbavu.

Watu wanapoteza hata mood ya kuusoma.

Hao wamefanya LIST yao na wewe fanya ya kwako uwaweke unaowataka.
 
Hata Harmonize CEO wa (Konde music worldwide) kondegang kijana anaekimbiza kwenye mziki wa bongo fleva hayupo...?🚮
King kiba mfalme wa muziki wa Tanzania ( yooooooooo) nae hayupo
Hata spika wa bunge LA kijani Jobu Ndugai nae kakosa, Hiyo list ni halamu🚮
🚶🚶🚶
 
Rebecca amefanya mambo makubwa zaidi ya huyo mtu wako unayemtaka!! Huyo mtu wake amepewa kila aina ya resources kuanzia watu hadi fedha za nchi yote na pia hadi kuwaibia matajiri fedha zao!! Rebecca anafanya mambo yote pasipo hata senti 5 kutoka serikalini.

Kujenga barabara,kununua ndege,kujenga sgr,kugenga stegolaz havionyeshi kwamba wewe ndio kiongozi bora ,hata waliopita walifanya kadri ya uwezo wao,hata akiingia konki mnywa gongo liquid barabara zitajengwa tu maana bajeti inapitishwa bungeni kufanya miradi nchini.
 
Hata Harmonize CEO wa (Konde music worldwide) kondegang kijana anaekimbiza kwenye mziki wa bongo fleva hayupo...?🚮
King kiba mfalme wa muziki wa Tanzania ( yooooooooo) nae hayupo
Hata spika wa bunge LA kijani Jobu Ndugai nae kakosa, Hiyo list ni halamu🚮
🚶🚶🚶
KIBAKULI YUPO KWENYE LIST ILA HATAKI MJUE TU.
 
Kaka paskali bado sijajua lengo hasa nini kuna kitu kinaniambia kuna ka kitu unakafikisha kama ka ujumbe fulani hiviii
 
Pasko unaanza "KUCHANGANYIKIWA UZEENI". Umekua "TOO OBSESSED" kulazimisha Rais akuone juhudi zako za kumsafisha na kumsifia hata yasio sifika, ili upate uteuzi.

Gerson Msigwa ana mganga machachari, pale haondoki ng'o. Na ile nafasi hauipati.
Huyu alishaharibu tangu day 1 ya Jon kuingia madarakani,haaminiki.Hakua anajua baadae anataka nn.Hili ni fundisho kwamba ukitaka kuwa baridi kuwa barid,km joto kuwa joto.Paskali ni vuguvugu.Teuzi zipo na km ataonekana kuna mahali anafiti atapata nafasi inategemea pia na uwezo wa mteuaji kuitambua fasihi anayotumia Paskali.Ila kwa mtu anatafuta nafasi Paskali anatakiwa abadilishe aina ya uandishi wake uwe wa wazi.km ni kusifu sifu kwa uwazi kwa lugha nyepesi iliyonyooka.Itakuwa ni njia rahisi ya kutubu na kumuwin mteuaji.ushauri tu.
Ukisoma bandiko lake apo juu mtu anashindwa kuijua dhamira yake,ikiwa anaongea toka moyoni au amembeza JPM au ni dhihaka.Sifu bila aibu tena kwa kunyooka ata mwenyewe akisoma anatikisa kichwa na kutabasamu kwa furaha.
 
Wanabodi

The much anticipated annual listing of the 100 Most Influential Africans of 2020 published by the continent’s premier pan-African publication, London-based New African magazine imetangazwa leo.

List hiyo iliyogawanywa katika mafungu manne, four categories of Leaders; Pathfinders; Creatives; and Icons.

Kundi la kwanza ni la viongozi, kwa mambo makubwa rais Dr. John Pombe Joseph Magufuli aliyoyafanya, kwenye vita dhidi ya janga la Corona, nilitegemea JPM ndie ange top the list, but to my surprise, hayumo!, wamekuja kumuweka Paul Kagame!, hata kwa Uganda badala ya kumuweka Museveni, wamemuweka Bobbi Wine!. Hawa watu vipi?.

Kwenye kundi ma Icons nilitegemea Diamond Platinum lakini hayumo!. Katika matajiri nilimtegemea Bakhressa au Mo!.

Kwenye wana sports nilimtegemea Mbwana Samatta wapi!.

Kwenye list hiyo kuna 36 women, and 64 men. Yaani kati ya wanawake wa maana wa bara hili, hakuna Mtanzania zaidi ya huyo 1?!. Yaani kati ya wanaume 64 wa bara hili la Africa, hakuna Mtanzania hata mmoja?. Mimi siamini na huu ni ubaguzi!. Yaani kwenye list hiyo ku WaNigerians 24!, akiwemo baba Dangote na Bintiye!, kuna wa South Africans, 15!, Ghanaians 8, from Cameroon 6, yaani Tanzania tunapitwa hata na Zimbabwe ambayo ina 5, Ethiopia ina 3 and Uganda 3, Kenya ina 3, halafu Tanzania ! tuu?!.

Kwenye mambo ya muziki, Arts and Culture kuna watu 30 halafu Diamond wetu hayumo!. Kwenye Politics and Public Service kuna watu 23 halafu Magufuli wetu hayumo!. Kwenye Business and Finance kuna watu 15, halafu Bakhresa wetu, Mo Dewji wa Manji hawapo!. Kwenye Science, Tech and Innovation kuna watu 9, kwa jinsi tuu tulivyoishinda Corona kwa kupiga nyungu!, hapa tungepaswa tuwemo lakini nil!. Is this fair or hii ni fake list?!.

Hata hivyo, kwenye list hiyo, kuna Mtanzania mmoja tuu!. Guess who....?!

Ngoja nikuwekee the full list kwanza halafu tuje kwa huyu Mtanzania.
Mtanzania ni
Rebeca Z. Gyumi is a Founder & Executive Director at Msichana Initiative, a Tanzanian NGO which aims to empower a girl child through education, and address key challenges which limit girl’s right to education.

Winning the battle against child marriagesCivil Society & Activism
Tanzania has the 11th-highest absolute number of child brides in the world, according to UNICEF. With at least 779,000 child brides, two out of five girls living in the East African country are married before their 18th birthday.

Previously, girls in Tanzania could marry at the age of 14. In January 2016, Gyumi, a lawyer and social activist, decided to fight against this law.

She embarked on a mission to change it and empower girls in Tanzania. Following her campaign, in July 2016, sections 13 and 17 of the Marriage Act were ruled unconstitutional. Most notably, the Tanzanian government appealed against the 2016 landmark ruling.
However, in October this year, the government lost the appeal – the 2016 ruling has been upheld.

Paskali

Nilitegemea ni Lissu kumbe nimekosea
 
Back
Top Bottom