Mwali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 7,012
- 5,613
Wikipedia sio credible source mkuu.
Plus it may not capture the informal economy.
Wasomali wana industry inayoingiza over a hundred million USD katika piracy, lakini huwezi kuona hesabu hii ikiwekwa kwenye hesabu za uchumi wa Somalia.
Wauza dagaa wa Kigoma wanavyouziana na Warundi in an informal way, hii biashara inaingia katika hesabu?
Watu wanaopangisha majumba kwa wageni bila kulipa kodi wala kuwa na rekodi za serikalini, biashara hii inaingia katika GDP?
Plus it may not capture the informal economy.
Wasomali wana industry inayoingiza over a hundred million USD katika piracy, lakini huwezi kuona hesabu hii ikiwekwa kwenye hesabu za uchumi wa Somalia.
Wauza dagaa wa Kigoma wanavyouziana na Warundi in an informal way, hii biashara inaingia katika hesabu?
Watu wanaopangisha majumba kwa wageni bila kulipa kodi wala kuwa na rekodi za serikalini, biashara hii inaingia katika GDP?
Ni kweli kuna mianya mingi ya ukwepaji kodi, pia kuna maeneo mengi yanayopaswa kutozwa kodi na pia kuna haja ya kupunguza misamaha ya kodi, serikali yetu kupitia TRA ikifanikiwa kuyadhibiti yote haya niliyoorodhesha, Tanzania itakuwa Dubai ya Afrika.
Lakini watanzania tuwe wawazi, Mhe. Kikwete alipoulizwa ni kwa nini watanzania ni maskini! akasema hajui sababu, kwa mwenye akili atajua maana ya Mhe. rais.
Mhe. rais alikuwa na maana ya kwamba, katika nchi ambayo kuna mianya mipana ya kutolipa kodi, kwanini wananchi hawatumi hii fursa katika soko lisilo rasmi ili kuzalisha mali? hiki ndicho kilimfanya Mhe. rais akose jibu.
TUZITAMBUE FURSA NA TUZITUMIE NDUGU ZANGU
Halafu kuna wapuuzi hapa Jukwaani hawaoni jitihada zinazofanywa na serikali ya CCM.
#Bungeni Leo tunajadili Bajeti ya Wizara ya Kilimo. Waziri kaomba tshs 333bn tu Kwa ajili ya Wizara yenye kuhusisha zaidi ya 70% ya Watanzania. Bajeti ya Kilimo ni 1.8% tu ya Bajeti nzima ya Serikali. Tunajua kuwa Umasikini wa Watanzania upo vijijini na shughuli yao kubwa ni Kilimo. Hata hivyo tunawezaje kuondoa umasikini wakati sekta ya watu Masikini haijaliwi kabisa? Jana #IMF na #BenkiYaDunia wametoa Global Monitoring Report ambayo inaonyesha kuwa Tanzania Ni nchi ya pili kutoka mwisho kwa umasikini katika nchi za EAC, ikiishinda Burundi tu. Taarifa inasema 68% ya Watanzania wanaishi chini ya dola 1.25 Kwa siku chini ya Rwanda 61%, Kenya 43% na Uganda 38%. Ni dhahiri kwa bajeti za namna hii katika Kilimo umasikini, ufukara, udhalili wa maisha utaendelea kuwakumbatia Watanzania.
Per Capital Income ya TZ hadi last year ilikuwa around 500K usd how comes hatumo? Sikubaliani na hizo data
watu wanakula mlo mmoja kwa siku,hatumo?
link naonyesha Tanzania ni ya 25 kwa umasikini duniani. kuna wakati tulikuwa kwenye 10 maskini. tumepga hatua. tuko kwenye mbio lakini kasi ni ndogo sana hata Zambia wako juu yetu, Kenya juu zaidi...
Halafu kuna wapuuzi hapa Jukwaani hawaoni jitihada zinazofanywa na serikali ya CCM.
unategemea bajeti ya kilimo iwe kubwa kwa faida ya nani, kama wakulima wameacha kulima wamebakia kupiga porojo za CDM kama makasuku, mapori yanaongezeka, mjini wasanii nao wameongezeka, siku mkiamka na kuachana na siasa za DJ na kibabu, bajeti nayo itaongezeka