The 10 poorest countries in the World

Koba

JF-Expert Member
Jul 3, 2007
6,132
1,346
Huffington Post | Nathaniel Cahners Hindman
First Posted: Aug-3-2010 | Updated: Aug-6-2010


Sub-Saharan Africa is the poorest region in the world, followed by South Asia, according to a new measure developed by Oxford University, with support from the U.N.

The measure, called the Multidimensional Poverty Index, or MPI, will replace the Human Poverty Index in the United Nations' upcoming Human Development Report, due out this October. (hat tip to The Economist)

For the past 13 years, the U.N.'s annual report has used the Human Poverty Index, which employs three basic dimensions -- length of life, knowledge and standard of living -- to measure poverty in developing nations.

But this year, the U.N. will use Oxford's Index: a "multidimensional picture of people living in poverty" that complements income measurements "by reflecting a range of deprivations that afflict a person's life," including whether a household has a decent toilet, clean water to drink within 30 minutes on foot, electricity, school-aged children enrolled in school and whether any member of a household is malnourished, say researchers.

A household is counted as "multidimensionally poor" if it is deprived of over 30 percent of the ten indicators used by the MPI. Of the 25 poorest countries researchers surveyed, 24 are located in Africa.

The countries below are, according to the MPI, the 10 poorest countries in the world:


1. Niger

j5fq7t.jpg

92.7% Living In Poverty
65.9% Living On At Least $1.25 A Day
89.5% Deprived Of Sanitation

2. Ethiopia

55p0m8.jpg


90% Living In Poverty
39% Living On At Least $1.25 A Day
61.5% Deprived Of Adequate Schooling

3. Mali

mvi982.jpg


87.1% Living In Poverty
51.4% Living On At Least $1.25 A Day
36.2% Deprived Of Electricity

4. Burkina Faso

fvuxlh.jpg


56.5% Living On At Least $1.25 A Day
35.4% Deprived Of Nutrition
55.1% Deprived Of Adequate Schooling

5. Burundi

8y8dc3.jpg


84.5% Living In Poverty
81.3% Living On At Least $1.25 A Day
93.4% Living On At Least $2.00 A Day

6. Somalia

2mrxvs1.jpg


81.2% Living In Poverty
69.1% Deprived Of Sanitation
70% Deprived Of Drinking Water

7. Central African Republic

beg1ec.jpg


86.4% Living In Poverty
62.4% Living On At Least $1.25 A Day
82% Deprived Of Electricity

8. Liberia

vdprgh.jpg


83.9% Living In Poverty
83.7% Living On At Least $1.25 A Day
83.9% Deprived Of Cooking Fuel

9. Guinea

292709j.jpg


82.4% Living In Poverty
70.1% Living On At Least $1.25 A Day
54.2% Deprived Of Adequate Schooling

(Above a woman casts her vote in Conakry, Guinea. In June, Guinea held its first free election since independence more than 50 years ago.)

10. Sierra Leone

zmh2co.jpg


81.5% Living In Poverty
53.4% Living On At Least $1.25 A Day
52.3% Deprived Of Drinking Water
 
Naona wabongo tumepiga hatua, hatuko kwenye 10 bora za umasikini, basi tena. Akiingia Dr tutapaa kama tuko kwenye Boeing.
 
Naona wabongo tumepiga hatua, hatuko kwenye 10 bora za umasikini, basi tena. Akiingia Dr tutapaa kama tuko kwenye Boeing.

Mkuu ukiangalia nchi hizo karibu zote zilikuwa na mikikimikiki ya vita muda si mrefu, lakini sisi wenye amani na utulivu usijekuta list ingewa expanded kidogo tu say 15 bora au mbau bora lazima ingekuwa ndani ya nyumba.

Anywayz as u have said With Slaa tunaweza kuchomoka kabisa kwenye hizi list.
 
mkuu ukiangalia nchi hizo karibu zote zilikuwa na mikikimikiki ya vita muda si mrefu, lakini sisi wenye amani na utulivu usijekuta list ingewa expanded kidogo tu say 15 bora au mbau bora lazima ingekuwa ndani ya nyumba.

Anywayz as u have said with slaa tunaweza kuchomoka kabisa kwenye hizi list.

true that
 
its curious kujua vigezo wanavyotumia, kwa mfano tuchukue nchi kama ethiopia, tuangalia walivyo na shirika la ndege kubwa almost the largets in the continent, ehtiopia air force ni very sophisticated ktk africa wao ndio modern kuliko wote hata ndege wanazo kubwa just check inventiry yao kwenye google, sasa izi figure wamezitoa wapi? kumaintain airforce ya ehtipia na ndege zote ni zaidi ya bajeti ya nchi nyingi za africa kama hii ya kwetu jhapo ujaangalia shirika lao la ndege la ethiopian airline lilivyo kubwa, sas kusema nchi hiyo ni masikini kwa kweli si sahihi, nchi kama yetu tunataka tujifariji kua sisi si maskini eti kuliko ehtiopia!
 
its curious kujua vigezo wanavyotumia, kwa mfano tuchukue nchi kama ethiopia, tuangalia walivyo na shirika la ndege kubwa almost the largets in the continent, ehtiopia air force ni very sophisticated ktk africa wao ndio modern kuliko wote hata ndege wanazo kubwa just check inventiry yao kwenye google, sasa izi figure wamezitoa wapi? kumaintain airforce ya ehtipia na ndege zote ni zaidi ya bajeti ya nchi nyingi za africa kama hii ya kwetu jhapo ujaangalia shirika lao la ndege la ethiopian airline lilivyo kubwa, sas kusema nchi hiyo ni masikini kwa kweli si sahihi, nchi kama yetu tunataka tujifariji kua sisi si maskini eti kuliko ehtiopia!

Mkuu soma mwanzo wa thread utaviona vigezo, Ila hicho kigezo chako cha shirika kubwa la ndege kimeniacaha hoiiiii, du!!!!!!!!!? And wht about hiyo Ethiopian airforce unayoiita sophisticated, can you pls subtantiate?

by the way did u know that..............The population of Ethiopia is approximately 82,825,000.
 
Mkuu ukiangalia nchi hizo karibu zote zilikuwa na mikikimikiki ya vita muda si mrefu, lakini sisi wenye amani na utulivu usijekuta list ingewa expanded kidogo tu say 15 bora au mbau bora lazima ingekuwa ndani ya nyumba.

Anywayz as u have said With Slaa tunaweza kuchomoka kabisa kwenye hizi list.
Tupo kwenye list ya 30 poorest countries in the world. Mwanzoni mwa mwaka huu tulikuwa tunashika nafasi ya 27 kutoka mwisho. Tumepiga hatua, kutoka kuwa kati ya nchi 7 masikini zaidi duniani wakati wa Mwinyi. Pongezi nyingi kwa Mkapa!
 
Kadanganya bana! Tz kasahau kuiweka, kama Etiopia imetajwa iweje Tz? au angeendelea kutaja tungeangukia kwenye 11 au 12.
 
its curious kujua vigezo wanavyotumia, kwa mfano tuchukue nchi kama ethiopia, tuangalia walivyo na shirika la ndege kubwa almost the largets in the continent, ehtiopia air force ni very sophisticated ktk africa wao ndio modern kuliko wote hata ndege wanazo kubwa just check inventiry yao kwenye google, sasa izi figure wamezitoa wapi? kumaintain airforce ya ehtipia na ndege zote ni zaidi ya bajeti ya nchi nyingi za africa kama hii ya kwetu jhapo ujaangalia shirika lao la ndege la ethiopian airline lilivyo kubwa, sas kusema nchi hiyo ni masikini kwa kweli si sahihi, nchi kama yetu tunataka tujifariji kua sisi si maskini eti kuliko ehtiopia!

Duh! Kuna haja ya kupiga ya ku-google sana mkuu. Tumia muda mwingi hapo. Otherwise, ni hatari sana namna hii
 
its curious kujua vigezo wanavyotumia, kwa mfano tuchukue nchi kama ethiopia, tuangalia walivyo na shirika la ndege kubwa almost the largets in the continent, ehtiopia air force ni very sophisticated ktk africa wao ndio modern kuliko wote hata ndege wanazo kubwa just check inventiry yao kwenye google, sasa izi figure wamezitoa wapi? kumaintain airforce ya ehtipia na ndege zote ni zaidi ya bajeti ya nchi nyingi za africa kama hii ya kwetu jhapo ujaangalia shirika lao la ndege la ethiopian airline lilivyo kubwa, sas kusema nchi hiyo ni masikini kwa kweli si sahihi, nchi kama yetu tunataka tujifariji kua sisi si maskini eti kuliko ehtiopia!
Wanaculculate kwa kuangalia kipato cha jumla cha taifa, kugawanya na idadi ya wakazi katika nchi. Kwa hiyo nchi kama Ethiopia inawezekana kwamba ina kipato kikubwa sana lakini mgawanyo wake unakuwa mdogo kwa kuwa ina idadi kubwa sana ya watu (80 milioni). Mfano mzuri ni hapa Tanzania ambapo ukiangalia tunaonekana tumepanda sana kiuchumi lakini ukiangalia hali za maisha za wananchi huko vijijini ni kama jana na juzi. Kipato walichoculculate ni kile ambacho serikali inaweza kukusanya kutoka kwa akina Rostam Aziz, Mengi, Mohamedi interprise na matajiri wengine wakubwa halafu wamekigawanya kwa watanzania wote, halafu inaonekana Tanzania umaskini umepungua. Na pengine kilichotusaidia sana, ni kwamba ongezeko la watu halijawa kubwa sana.
 
Tupo kwenye list ya 30 poorest countries in the world. Mwanzoni mwa mwaka huu tulikuwa tunashika nafasi ya 27 kutoka mwisho. Tumepiga hatua, kutoka kuwa kati ya nchi 7 masikini zaidi duniani wakati wa Mwinyi. Pongezi nyingi kwa Mkapa!

Mwaka 2005 tulikuwa nafasi ya ngapi?
 
Wanaculculate kwa kuangalia kipato cha jumla cha taifa, kugawanya na idadi ya wakazi katika nchi. Kwa hiyo nchi kama Ethiopia inawezekana kwamba ina kipato kikubwa sana lakini mgawanyo wake unakuwa mdogo kwa kuwa ina idadi kubwa sana ya watu (80 milioni). Mfano mzuri ni hapa Tanzania ambapo ukiangalia tunaonekana tumepanda sana kiuchumi lakini ukiangalia hali za maisha za wananchi huko vijijini ni kama jana na juzi. Kipato walichoculculate ni kile ambacho serikali inaweza kukusanya kutoka kwa akina Rostam Aziz, Mengi, Mohamedi interprise na matajiri wengine wakubwa halafu wamekigawanya kwa watanzania wote, halafu inaonekana Tanzania umaskini umepungua. Na pengine kilichotusaidia sana, ni kwamba ongezeko la watu halijawa kubwa sana.

Tisidanganywe na hizi reports kwani hazioneshi hali halisi ya maendeleo ya watu; haingii akilini leo hii mtu kusema Tanzania ya leo imeendelea kuliko huko tulikotoka ili hali ya maisha ya watu imezidi kuwa mbaya!!

Watu wengi zaidi wanakufa wakiwa wadogo kwasababu ya maradhi yakiwemo utapiamlo ambao unasababishwa na umaskini wa kipato wa wananchi; watu wengi hawana uwezo wa kuyapata maji safi na salama sio vijijni tu bali hata mijini!!

Uwezo wa wananchi wengi kupata matibabu ni mdogo ukilinganisha na hapo zamani ambapo matibabu yalitolewa bure na zaidi ya yote ufisadi umekubuhu sana siku hizi ambapo kuna double standards jinsi ya kushuhulikia wizi wa maliasili za nchi kati ya wakubwa na makabwela!!

Read these reports with a pinch of salt kwani haingii akilini inaposema Ethiopia ni masikini zaidi kuliko a stateless nation Somalia!!
 
Nan ninyi wote mnaosumbuka na kuona aibu................................kwani ni nani aliwaambia kuwa nchi zote ni lazima ziwe sawa au zilingane?
 
Takwimu za uchumi zinazoegemea kwenye pato la taifa/nchi na idadi ya watu si kigezo kamili cha kuelezea hali au maendeleo halisi ya nchi.

Ni jinsi nchi inavyotumia (inavyogawanya) na kusimamia rasilimali zake ndivyo inavyoweza kujipatia maendeleo yenye matokeo halisi (impact/results) kwenye uchumi wake. Ni kweli Ethiopia ni masikini kuliko Tanzania ukiangalia pato na idadi ya watu. Hata maisha ya watu wao wengi ni duni zaidi. Lakini huenda wakawa wanatumia rasilimali zao haba kwa ufanisi zaidi kuliko sisi na hivyo kuwa na matokeo bora zaidi (value-for-money/results).

Ndio maana wameweza kuendesha shirika la ndege na hata la meli; vitu ambavyo hapa kwetu bado ni ndoto.
 
Ekchware Tanzania iko kwenye TOP 5 Poorest in the world kwa DATA za IMF(2008) which were based on Per Capital GDP - Hawa IMF wako very precise kwenye data zao kwani ndo shughuli zao hizi!
View attachment 12397View attachment 12396

Wakati mwingine, kuna uwezekano mkubwa kwamba hizi ranking huwa hazina ukweli wowote. Kwa mfano ukichukua ranking ya CIA ya nchi zenye GDP kubwa zaidi duniani, Tanzania imekuwa ranked ya 85 duniani kwa kuwa na Gross per capita income kubwa zaidi. Bonyeza hapa ili usome ranking iliyopo ambayo imeziacha nchi zaidi ya 160 chini yake.

Lakini pengine makusanyo ya jumla tunaonekana tupo juu lakini ukija kugawanya hilo pato kwa raia wote ndo tunaonekana tupo chini. Hata hao IMF inategemeana wanacalculate nini kwa mfano ukiangalia calculation ya standard of living ya wananchi wa tanzania Human Development Index (HDI) utakuta watanzania tunashika nafasi ya 151 kati ya nchi 182 zilizofanyiwa utafiti mwaka 2009. Ina maana kwamba tupo katika nafasi ya 31 kutoka mwisho. Na katika orodha hiyo Tanzania inaonekana ni nchi inayoendelea ikiwa imeondolewa kwenye orodha ya Least developed countries ya mwaka 1995.

Unaweza kusoma zaidi kutoka hapa kwa wakati wako.
 
Back
Top Bottom