Sabayi
JF-Expert Member
- Dec 4, 2010
- 2,313
- 991
Kwakweli hakuna tofauti yeyote kati ya Serikali ya ccm na ile ya mkoloni mwingereza kwakua imekopi na kupest MFUMO KRISTO.Ukitaka ujue mfumo huo muulize Mwingereza Carlmax"religion is opium of the people".Uone jinsi Mfumo unavyofisadi serikali kupiti misamaha yakodi,ruzuku za MoU etc.
Acha kutumia Masaburi kufikiri wewe tumia walau kamasi basi kama umeshindwa kutumia ubongo badala ya kupiga kelele makampuni ya simu yalipe kodi na migodi ya madini unapigia kelele misamaha ya kodi ya hospitali za taasisi za dini zinazokusaidia kutibu hizo akili zako fupi I'm ashamed to be your fellow Tanzanian