Thanks michuzi blogspot

Status
Not open for further replies.
Membe bado uwezo wake wa kuongoza ni mdogo, namfananisha na JK wote wanamvuto yaani ma HB lakini uwezo wa kwa kuwa rais NO, isipokuwa JK ambaye udini ulimbeba sana baada ya Mkapa aliyeongoza kwa muda wa miaka kumi muda wake kwisha.

membe HB? Na pua lake lile kama skonzi au hb unamaana nyingine?
 
Kwani Michuzi mwenyewe si gamba tu. Ni msanii wa kawaida ambaye shule ilimpiga chenga lakini akaja kuokolewa na utawala wa kifisadi wa Kikwete. Hakuna mtu wa hovyo kama Michuzi ambaye mara nyingi hundamana na viongozi kwa nafasi sijui ya upiga picha sijui upishi God knows. Blog ya Michuzi ni sawa na Mzalendo na Uhuru believe ye me. Luck enough haina uchambuzi zaidi ya picha vinginevyo ingekuwa hatari.
 
I am still coming to terms with rationale ya kwamba trend yetu ni rais atoke foreign ministry au awe wa kaskazini bla blah...

I am trying to check other countries... sioni hiyo kitu kama factor kabisa... Pasco you gave me a homework and after 2 hours bado nimeshindwa kuelewa upeo wako au undani wa hoja yako!!!

I have only one question kwako ili nipate akili kidogo: what is our foreign policy???
 
Hivi kwanini kila anapoongelewa VIP ndani ya CCM, CHADEMA wanarukia kuhusianisha usafi wa VIP huyo kuwa umetokana na mmoja kuchafuliwa. Sasa watanzania tushike lipi? Kwamba wanaodaiwa kuwa mafisadi ndani ya CCM wamesingiziwa na wengine ili wao waonekane wasafi au ni kweli ni Mafisadi?. Jamani hapa nifafanulieni, Hivi kweli CHADEMA huu ndiyo mgongo wa kupitia ili kushika dola? Naogopa, naona kama hizi mpropanga hata zikiwafikisha huko Watanzania tutashindwa kuwahukumu pale mtakaposhindwa kutekeleza majukumu yenu? Nasema hivyo kwa sababu, ok mmeshika nchi na kwa maana hiyo Mafisadi hawana nafasi tena. Lakini nini kitafuata maanake kwa kipindi chote mlikuwa mnaimba wimbo wa mafisadi. Hayo mengine mnayoyasema ya shule bure, hospitali bure, kima cha chini cha mshahara 350000 nini mtafanya kuyafikia hayo hamsemi, na kwa uhakika hayawezekani kutokana na mabadiliko ya kiuchumi, sayansi na technolojia duniani, lakini kwa kwa vile KWA mjibu wa reseaRch za CHADEMA zinazosema "WANANCHI WANASIKILIZA KILA LIOSEMWALO NA CHADEMA HATA KAMA NI LA UONGO" tutabaki kuamini myasemayo lakini, watakaojuta ni wajukuu zangu kwa vile mimi sitakuwepo siku hizo na siwezi kudanganyika kwa maneno yenu kwa sasa.
 
what is VIP for God's sake
 

kwa matatizo tuliyonayo, i wouldnt prefer a MFA kwani mara nyingi hawajui shida za ndani

I would rather listen to mtu anayejua wizara ya tawala za mikoa, ujenzi, kilimo, mawasiliano, fedha au viwanda na biashara

Tunahangaika na foreign relatioship wakati chumvi ipo uvinza, sukari iko mtibwa uji upo nchi nzima wali upo mbrali

we need basics before we start flying out like nzi
 
.......sure! Michuzi angalia hiyo red usipukutike nywele na ngozi kutoa vumbi baba
 
lowassa naona anafaa kuwa raisi wa nchi hii kuliko wooote mnaowaongea



Sasa nimeelewa kwanini baadhi ya wale member woote wanapoona umemtetea mtu wanaona sio bure na wanakutuhumu kua sio bure wee ndo mhusika.... i.e hii ID ya Lowassa OR other wise.... Dah!
 

Trend? Mwinyi alikuwa waziri wa mambo ya nje wa nchi gani kabla hajawa rais?
 
Sasa nimeelewa kwanini baadhi ya wale member woote wanapoona umemtetea mtu wanaona sio bure na wanakutuhumu kua sio bure wee ndo mhusika.... i.e hii ID ya Lowassa OR other wise.... Dah!
Thanks AshaDii... i just wanted to stir this up coz tumepoteza rationale yote ya maendeleo ya taifa, mahitaji ya wananchi policies za ndani na nje, development program, leadership for a good course na kuhamia kwenye ZAMU, KUSINI, KASKAZINI, FOREIGN ETC
 

Thread ya kutunga sebuleni kwa padre ili kuchafua waadilifu ndani ya CCM.
Membe is clean na mwajua ndio tishio kwenye chama chenu.
OTIS.
 
Thread ya kutunga sebuleni kwa padre ili kuchafua waadilifu ndani ya CCM.
Membe is clean na mwajua ndio tishio kwenye chama chenu.
OTIS.
sijasema Membe mchafu wala sijaonyesha lengo lolote against, nimeonyesha jinsi political bias inavyoharibu our focus

we need to sort out economy, food security, health, infrastructure nk. watu wako bize ku-endorse zonal, historical, political and all teh trash

Sorry kama imekuuma lakini if you take time kunisoma utaelewa...

BTW, siamini kama nina chembe ya udini.. na FYI nimesoma tarbiya til islamiya, nikasoma mafundisho ya sabato, na pia nikasoma St. teresa kipaimara... so dont think kila unayeweza kudhani unavyojua basi yupo hivyo

I am expressing my passion for the country rationally and not being any partisan crap

kakojoe ulale
 
MTM,
Tuachane na other side ya Lowassa.
Tuongelee utendaji wake. Katika watu ambao wapo strong in leadership, wanaoweza kufanya maamuzi, wenye hekima na busara naona Lowasa anaongoza. Ukifuatilia utendaji wake kwenye wizara alizofanya kazi, unaona kabisa alikuwa na nguvu na alikuwa anasimamia anachokiamini.
Simpigii kampain kwa nafasi ijayo ya uraisi, but tunahitaji kuwa na rais mwenye sifa za Lowassa katika uongozi!
 
Pal

I have no issue na yoyote, naona wote sawa kwani wanahangaikia kugawana urithi na baba hajakata roho... si lowassa, membe, mwandosya, CDM nk...

Ningependa tu-focus kuondoa nchi kwenye shimo refu, tusaidiane kujitoa na tukifanikiwa kila kitu kitakua in place or at least tutajua leaders ni wapi na prakatatumba ni nani

Just tell me tangu tuwe kwenye turmoil ni kiongozi gani amesimama kuhesabiwa??? tunahangaika na kamati za bunge, wamekua ndio mawaziri, wamekua ndio wasemaji, wamekua ndio watendaji, wamekua ndio makatibu wa wizara... SAD!!!

I wouldnt mind chochote as long as tunapunguza shida zilizopo sasa

Imagine senior government officer wa take home ya 500,000 maana yake anapata chini ya dolla 250 kama mshahara!!!!!!!!!!!!! sukari, chumvi, ugali, wali vya mgao, umeme, mafuta, gesi, foleni kila kitu mgao and we are very busy talking up 2015 which is over 1000 days to come meaning over 30,000 hours of suffering fook
I need a gun!!
 

mimi hapa ndo nabaki mdomo wazi na watanzania.......nahisi nimezaliwa nchi kwa makosa
 

Umeanza kwa kumshambulia Michuzi kuwa anamsapoti Membe.
Huna ushahidi wa tuhuma zako ulizotoa na inaonesha kuna siri nyuma ya tuhuma hizi.
Kakojoe ulalwe.
OTIS.



Viongozi wenye uwezo wa kutupeleka mbele wapo.
Hatuhitaji kumflash huyu lowassa.
Unapozungumzia uongozi,mbona hutaji hulka yake ya wivi?
OTIS.
 
Umeanza kwa kumshambulia Michuzi kuwa anamsapoti Membe.
Huna ushahidi wa tuhuma zako ulizotoa na inaonesha kuna siri nyuma ya tuhuma hizi.
Kakojoe ulalwe.
OTIS.



Mkuu, huhitaji kuona kuulizia mkun*u wa mbwa wakati mkia unauona... na haihitaji povu kujua agenda ya yule kijana> and i went to read again the post na sijaona shambulizi

Just stay off my dick!! I dont do benders
 
Mkuu, huhitaji kuona kuulizia mkun*u wa mbwa wakati mkia unauona... na haihitaji povu kujua agenda ya yule kijana> and i went to read again the post na sijaona shambulizi

Just stay off my dick!! I dont do benders

Unarusha mate mkubwa.
Target yako kumchafua membe na michuzi kama njia tu.
Acha kutumika kijana.
OTIS.
 
Unarusha mate mkubwa.
Target yako kumchafua membe na michuzi kama njia tu.
Acha kutumika kijana.
OTIS.
Wapi amechafuliwa na mimi... if you find any post in this thread i will apologize, but if not, i will ask once again, i dont do benders... just stay off my d!ck

na kwa kusisitiza tu... ni siasa chafu za kuanza kutafuta kurithi urais zinaharibu nchi hii.... mko bize mnahangaika wa kurithi wakati hata bei ya kilo ya unga hamjui

tuungane tusolve the pooerst of the poor... come 2012 vikianza vikao vya chama then you can take it inside the party, sio kulazimisha watu kwa kuwaletea images za kuzoeleka

You are just so narrow and you think everything in this world is propaganda and fanatism

we want results and accountability not suits and boarding passes
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…