Chabruma
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 5,660
- 1,777
...the problem continue...hamkai mkasoma mkafikiri mkajinbu hoja.....mimi nasema hata kam ccm imefulia lakini si kwa kiasi hicho..kushidwa kujibi HOJA ndogo ndogo zinazoanzishwa kenye mitandoa na kushidwa kuanzisha hoja zina maishiko.....mbadilike...ze marcopolo, simiyu, ritz, chambruma, bungeni, chama kipya, srtoke, na wengine mkae mtafakari...mnaaibisha na kuharibu taswira ya CHAMA kwenye mitandao...kwa udhaifu wenu wa kijinga wa kupangua hoja na kutoa hoja nzuri....kila siku slaa, sla , sla badilikeni
Mkuu, kama wewe ndo slaa sawa. unastahili kulalamika kutokana na kuukosa urais ulioahidiwa. ila kama wewe unategemea posho ya Kinondoni, nakusikitikia sana maana huna hoja ya maana. huwezi kuanzisha utumbo kama huu halafu ukategemea watu wapoteze muda wao kujibu hoja isiyo na kichwa wala miguu. Majibu umepewa na sasa sijui unahitaji nini tena