Thanks God for Giving us Kikwete

...the problem continue...hamkai mkasoma mkafikiri mkajinbu hoja.....mimi nasema hata kam ccm imefulia lakini si kwa kiasi hicho..kushidwa kujibi HOJA ndogo ndogo zinazoanzishwa kenye mitandoa na kushidwa kuanzisha hoja zina maishiko.....mbadilike...ze marcopolo, simiyu, ritz, chambruma, bungeni, chama kipya, srtoke, na wengine mkae mtafakari...mnaaibisha na kuharibu taswira ya CHAMA kwenye mitandao...kwa udhaifu wenu wa kijinga wa kupangua hoja na kutoa hoja nzuri....kila siku slaa, sla , sla badilikeni

Mkuu, kama wewe ndo slaa sawa. unastahili kulalamika kutokana na kuukosa urais ulioahidiwa. ila kama wewe unategemea posho ya Kinondoni, nakusikitikia sana maana huna hoja ya maana. huwezi kuanzisha utumbo kama huu halafu ukategemea watu wapoteze muda wao kujibu hoja isiyo na kichwa wala miguu. Majibu umepewa na sasa sijui unahitaji nini tena
 
he Best of Kikwete:
Katika kipindi cha Kikwete masuala yafuatayo lazima tumpe Credit kwani baadhi yamefanywa na JK wa mwanzo tu na hayakufanywa na Mwinyi wala Mkapa.

1. Ujenzi wa Sekondari za Kata ni maamuzi sahihi ingawa yana changamoto zake zinazoweza kutatuliwa na watakaomfuatia, lakini hapa JK ametumia madaraka yake vizuri

2. Ameendelea na uendelezaji wa Miradi ya Barabara, suala lililoanza kujitokea wakati wa awamu ya 3, JK ameendelea nalo suala hilo kwa kasi kubwa na kwa kipindi chote

3. Daraja Kigamboni, Malagarasi na Kilombero ni miongoni mwa mambo yatakayokumbukwa forever

4. Ongezeko la Taasisi za Elimu ya Juu limefanyika vizuri sana katika awamu ya Kikwete, mbali na UDOM lakini taasisi na vyuo vingi vimeimarishwa, kupandishwa hadhi na vyuo vingi binafsi vimeanziswa. Kwa sasa Taifa haliko tena na dhana ya UDII, Mzumbe na SUA. Aidha ari na moyo wa watanzania kulipia huduma za elimu umeongezeka.

5. Kumekuwa na ongezeko kubwa la ajira ukilinganisha na awamu mbili zilizomtangulia. Mkapa aliendesha Serikali nyembamba, suala ambalo ni zuri lakini lina changamoto zake kwa wale waliokuwepo wameliona hata akapewa sifa ya mzee wa "ukapa"

6. Mradi wa Bomba la Gesi kutoka Mtwara kwa lengo la kutatua kero ya Umeme ni hatua nzuri ambayo haijawahi kufanywa katika awamu ya 2 na ya Tatu (Vyanzo vya Nishati)

7. Mradi wa Ujenzi wa Kiwanda cha Chuma (Kule Liganga?) ambao maandalizi ya ujenzi wake yamekamilika ni hatua nzuri ili kuvutia au kuanzisha uwekezaji wa zana za Chuma pamoja na Viwanda vikubwa.

8. Hatua ya Kujenga Bandari mpya eneo la Bagamoyo yenye hadhi ya 4th Generation ni tukio litakalokumbukwa na vizazi Dahri vijavyo.

9. Hatua ya Utekelezaji wa mradi wa DRT ambao ulikuwepo miaka mingi pia ni miongoni mwa mazuri yaliyotendeka katika awamu ya JK

10. Zoezi la kutambua na kuwarudisha kwao wahamiaji haramu pia ni zoezi zuri ambalo bila shaka halijawahi kufanywa katika uongozi wa awamu nyinginezo kwa kiwango na utashi wa namna hiyo

11. Kitendo cha utekelezaji wa mradi wa vitambulisho vya Taifa ni credit kubwa kwa JK ambao hakuna sababu za wazi kwanini nchi imekaa miaka 50 pasipo na vitambulisho vya uraia kwa wakazi wake na raia wake

12. Ameendelea kuiweka Tanzania kwenye mahusiano mazuri kimataifa hususan SADC, UN na nyanja nyingine za Kitaifa. Ukiacha EAC ambayo sababu za kuzorota kwake ziko wazi, lakini maeneo mengine ame-play well ok


Bravo, haya ndio masuala tunayo tarajia kuyasikia kutoka kwa watu walio na hekima na busara, safi sana. Ni matumaini yangu kuwa tutaendelea kwa style hii. Uliyo ya sema ni kweli tupu. Vilevile ikitokea tunayangalia mapungufu yake naomba tuwe wakweli kuyatazama ili tuepuke huko mbeleni kurudia makosa yake.
 
Mkuu, kama wewe ndo slaa sawa. unastahili kulalamika kutokana na kuukosa urais ulioahidiwa. ila kama wewe unategemea posho ya Kinondoni, nakusikitikia sana maana huna hoja ya maana. huwezi kuanzisha utumbo kama huu halafu ukategemea watu wapoteze muda wao kujibu hoja isiyo na kichwa wala miguu. Majibu umepewa na sasa sijui unahitaji nini tena

nime like na kukupa big up zote
 
Mkuu, kama wewe ndo slaa sawa. unastahili kulalamika kutokana na kuukosa urais ulioahidiwa. ila kama wewe unategemea posho ya Kinondoni, nakusikitikia sana maana huna hoja ya maana. huwezi kuanzisha utumbo kama huu halafu ukategemea watu wapoteze muda wao kujibu hoja isiyo na kichwa wala miguu. Majibu umepewa na sasa sijui unahitaji nini tena


sio wote humu ni wanachama au wapenzi wa vyama ni watz tuuuuuwanapenda nchi yao kwa hio lazima yale mabaya wayaseme......haiwezekani mwandishi wa habari auwawe hana silaha mkononi alafu tuseme ni jambo turi
 
Mkuu, kama wewe ndo slaa sawa. unastahili kulalamika kutokana na kuukosa urais ulioahidiwa. ila kama wewe unategemea posho ya Kinondoni, nakusikitikia sana maana huna hoja ya maana. huwezi kuanzisha utumbo kama huu halafu ukategemea watu wapoteze muda wao kujibu hoja isiyo na kichwa wala miguu. Majibu umepewa na sasa sijui unahitaji nini tena
The problem continue...ungejua nafanya kazi gani usinge sema hayo mambo ya kinondoni...badiliken mnaabisha chama cha CCM
 
Acha uzushi. Siasa ndivyo zilivyo. We cheki USA, pamoja na ukomavu wao wa kisiasa lakini kushinda uchaguzi kuna fitina kibao. Kikubwa wananchi wanatakiwa wazidi kuelimishwa juu ya haki zao ili waweze kuwapima wagombea na kufanya tathmini ya maendeleo yaliyoletwa na rais ktk mihula/muhula husika.

Kwa ujumla JK kajitahidi sana ktk uongozi wake, si kichama pekee bali hata kwa vyama vya upinzani. Pia hata uhusiano wa kimataifa.

Najua kuna kasoro za hapa na pale mfano kuuawa kwa watu wasiokuwa na hatia kwenye mambo ya kisiasa, ila hilo linakwenda moja kwa moja kwa wana CCM wanaotaka kuwathibiti wapinzani 2015, na hao ndiyo wa kuwalaumu na tuchukue majina yao na kauli zao tuje tuzipime 2015.

Ila JK ni jembe!
 
Ukihitaji kujua matusi ya Ccm huhitaji kwenda kwa Lusinde siku hizi, pitia Jf tu utakuna nayo!
 
Mimi nilikua sijui nini maana ya TINDI KALI nimekuja kuijua utawala wa JK!
 
mambo ya BAVICHA kazi kweli inakuwaje maswala ya mungu utuulize sisi kwani Mungu tunakaa naye wapi sisi.

sumu sumuniii lol! inaonekana una damu ya kijani kbs ww! sina tatizo na ww..... maisha ni kuchagua bana.
 
he Best of Kikwete:
Katika kipindi cha Kikwete masuala yafuatayo lazima tumpe Credit kwani baadhi yamefanywa na JK wa mwanzo tu na hayakufanywa na Mwinyi wala Mkapa.

1. Ujenzi wa Sekondari za Kata ni maamuzi sahihi ingawa yana changamoto zake zinazoweza kutatuliwa na watakaomfuatia, lakini hapa JK ametumia madaraka yake vizuri

2. Ameendelea na uendelezaji wa Miradi ya Barabara, suala lililoanza kujitokea wakati wa awamu ya 3, JK ameendelea nalo suala hilo kwa kasi kubwa na kwa kipindi chote

3. Daraja Kigamboni, Malagarasi na Kilombero ni miongoni mwa mambo yatakayokumbukwa forever

4. Ongezeko la Taasisi za Elimu ya Juu limefanyika vizuri sana katika awamu ya Kikwete, mbali na UDOM lakini taasisi na vyuo vingi vimeimarishwa, kupandishwa hadhi na vyuo vingi binafsi vimeanziswa. Kwa sasa Taifa haliko tena na dhana ya UDII, Mzumbe na SUA. Aidha ari na moyo wa watanzania kulipia huduma za elimu umeongezeka.

5. Kumekuwa na ongezeko kubwa la ajira ukilinganisha na awamu mbili zilizomtangulia. Mkapa aliendesha Serikali nyembamba, suala ambalo ni zuri lakini lina changamoto zake kwa wale waliokuwepo wameliona hata akapewa sifa ya mzee wa "ukapa"

6. Mradi wa Bomba la Gesi kutoka Mtwara kwa lengo la kutatua kero ya Umeme ni hatua nzuri ambayo haijawahi kufanywa katika awamu ya 2 na ya Tatu (Vyanzo vya Nishati)

7. Mradi wa Ujenzi wa Kiwanda cha Chuma (Kule Liganga?) ambao maandalizi ya ujenzi wake yamekamilika ni hatua nzuri ili kuvutia au kuanzisha uwekezaji wa zana za Chuma pamoja na Viwanda vikubwa.

8. Hatua ya Kujenga Bandari mpya eneo la Bagamoyo yenye hadhi ya 4th Generation ni tukio litakalokumbukwa na vizazi Dahri vijavyo.

9. Hatua ya Utekelezaji wa mradi wa DRT ambao ulikuwepo miaka mingi pia ni miongoni mwa mazuri yaliyotendeka katika awamu ya JK

10. Zoezi la kutambua na kuwarudisha kwao wahamiaji haramu pia ni zoezi zuri ambalo bila shaka halijawahi kufanywa katika uongozi wa awamu nyinginezo kwa kiwango na utashi wa namna hiyo

11. Kitendo cha utekelezaji wa mradi wa vitambulisho vya Taifa ni credit kubwa kwa JK ambao hakuna sababu za wazi kwanini nchi imekaa miaka 50 pasipo na vitambulisho vya uraia kwa wakazi wake na raia wake

12. Ameendelea kuiweka Tanzania kwenye mahusiano mazuri kimataifa hususan SADC, UN na nyanja nyingine za Kitaifa. Ukiacha EAC ambayo sababu za kuzorota kwake ziko wazi, lakini maeneo mengine ame-play well ok

chezea JK wewe vijana mnalipwa kumsafisha mitandaoni enh..... na watz ni hasara yaan full kuyumbishwa kisa vijisent wakat ukweli mnao. hahaha heri yetu sie waangaliaji wa huu mchezo mchafu ngoja nasi tufanye yetu kwenye vitengo vyetu. nyie mnaotokwa mapovu umu for nothing hata posho hupatiii ur a total looser lkn kama bahasha ya kaki imepita kila la kheri zenuu.
 
Mkuu, yaani umeonesha udhaifu mkubwa saba katika kufikiri. Kwani JK alishindwa kwenye kura za maoni mwaka 2005? kama ndo hivyo, je alishindaje nafasi hiyo ndani ya chama?
Kukosea mwaka haimaanishi mtu ni mdhaifu wa kufikiri ;typing error zipo kila mahali
 
Ni kweli Mungu alikuwa na Makusudi sana kutuletea Rais anayeweza kuchora dunia nzima kama Setelaiti maana hakuna nchi wala kichochoro hajafika kisa eti anasaka misaada. Huku nyuma akiwaacha wataalamu wanagundua hazina ya utitiri wa Utajiri hadi watu wanakuja kujichukulia ambao Juzi aliwaita Wahamiaji Haramu sasa anaanza kuwaondoa nao wanakasirika na kumkosoa.
 
Back
Top Bottom