Is this a joke?
Kama gaka okwi alikopeshwa kwa 350ml.kwa fundi,goal man msuva ml700 ana thamani hiyo kabisa..viti maalum sc watoe tu hiyo ml700.
Kama huyo Bakhresa ana hela ya kufanyia mchezo kiasi hicho kwanin msimu uliopita wa usajili alishindwa kumsainisha kijana kutoka Mali anaekipiga El marreick ya Sudan Ahmad Traore!!!
Mwambie huyo bakheresa wako afike hilo dau kama hatumpi msuva?!!!!!
Simba sio ya kuchukua makapi na magarasa ya Yanga. Yanga ndio inayojengwa kwa kutumia makapi na magarasa ya Simba. Na ndiyo maana wakikutana na Mnyama hawafurukuti watabakia kung'ara kwa kununua mechi na vitimu vingine vyote lakini kamwe hawataifunga Simba wala kung'ara mbele yake.
Okwi wa kimataifa anang'ara kila mechi kila mwaka na pamoja na hayo anaitungua Yeboyebo kwa staili anayoitaka yeye huyo ndiye mchezaji bora.
Siipendi Yanga Kama Nisivyompenda Shetani!
sisi wanayanga tuna kicheko kila kukicha nyie endeleeni kulia njaa.
Na Wewe Njaa Utaipata Kesho Huko Sous Tunisia.
Makapi yalio chukua UBINGWA.....!
Makapi yanayowakilisha utaifa wako......!
Sserenkuma Danny ni KAPI ambalo halijawahi kutokea Tanzania.
kisicho chako huwezi kukijua uzuri wake.
Kwanza subiti muone warabu watachowafanya huko kwao ndio mtakuwa na adabu
Simba sio ya kuchukua makapi na magarasa ya Yanga. Yanga ndio inayojengwa kwa kutumia makapi na magarasa ya Simba. Na ndiyo maana wakikutana na Mnyama hawafurukuti watabakia kung'ara kwa kununua mechi na vitimu vingine vyote lakini kamwe hawataifunga Simba wala kung'ara mbele yake.
Okwi wa kimataifa anang'ara kila mechi kila mwaka na pamoja na hayo anaitungua Yeboyebo kwa staili anayoitaka yeye huyo ndiye mchezaji bora.
Adabu ya Nini wakati mimi ninaheshima hapa nyumba baada ya kunyanyua Kombe la UBINGWA...!
Michuano ya kimataifa ni kama sebuleni kwangu. Naingia na kutoka wakati wowote....!
Ni lini simba Sc imecheza mchezo wa kimataifa wa kiushindani (sio wa kirafiki l....?
simba ndio waliochukua garasa okwi ambae amewasaidia hadi kuchukua nafasi ya tatu.kutoka nafas ya nne ya msimu uliopita.halaf suala la kusema okwi wa kimataifa unajidhalilisha,ukimataifa huo anaupata wapi wakati timu ya taifa UG haitwi?okwi ni wa ndondo cup.wakimataifa wapo tunisia huko wanapasha misuli.
Heshima ni kuchukua ubingwa kwa kumfunga mtani wako bao 5 kwa bila. Ubingwa gani huo wa kunyukwa na Mtani wako mwaka wa 3 mfululizo. Ndio maana watu wanauita ubingwa wa Mpesa utanunua mechi zote ya Simba kichapo tu.
Okwiiiiiiiiii