Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,493
- 176,572
Ninakuelewa mama, ni shughuli asikuambie mtu.Asikuambie mtu kazi za nyumbani baada ya kutoka job yataka moyo. Hao wanaolalamika hautawakuta hata siku moja wakisaidia watoto na homework.
Kwa wiki mbili sasa msadizi kaenda likizo, nina watoto watatu chini ya miaka kumi na ajira juu. Hakuna rangi sioni nasubiri kwa hamu arudi nipumzike kidogo.

Amen.....

