Mwanakijiji
Mimi sikuelewi labda mimi sielewi,mimi kwa ufahamu wangu mwalimu alikuwa WATCH DOG,yani wakati huo alikuwa anawafundisha wananchi nini cha faa na nini kisichofaa maana enzi hizo waelewa walikuwa wachache na wenda viongozi walichokifanya enzi hizo hawakufahamu konsikwensi za baadae.
Lakini leo unapowaelimisha watu wenyewe waameamuwa kuwa hivyo na wakielewa konsikwensi za badae .
Si kuelewi kabisa.
Kitu ambacho naona huwa tunapoteza mda ni kujaribu kuwaelimisha viongozi wetu namna ya kufanya ili tupate maendeleo ama jinsi ya kukomesha ufisadi huu ni upotevu wa mda.
Hawa watu wanafahamu vizuri sana mbinu za kuleta maendeleo na wanafahamu vizuri sana mbinu za kukomesha ufisadi ila tatizo ni moja kwao MAENDELEO na KUTOKUWEPO UFISADI ni hatuwa mbaya sana kwao na vizazi vyao.
si kweli kwamba ccm imeumbwa kuitawala tanzania milele!?sasa watu walioko vijijini wanaamini hivyo.mwanakijiji UTAWAFIKISHIAJE UJUMBE HUU?au tuchome cd tupeleke kule mpanda,mbinga,kangaga,pawaga,nk
mkuu GEOF unaflood jukwaa ila umeongea points tupu.
Mimi mtazamo wangu ni kwamba inapaswa kuihurumia ccm kwa kuinyima kura kwani imeshindwa kukidhi mahitaji ya wakati na imeelemewa sana.
huu ndio wakati wa vyama makini kama Chadema, CUF, NCCRS, TLP(hehe!) n.k kujichimbia na kutuletea sera endelevu zitakazotutekenya nyoyo zetu wakati wa kura ukifika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.