TGIF: Uongozi na Maendeleo - Sauti kutoka Ahera!

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,476
39,995
nyerere.jpg


Ningeweza kukuambia alichosema na kukuandikia alichotaka kusema but then sitakutendea haki; bora usikilize mwenyewe.
CLICK HERE TO LISTEN
 
Last edited by a moderator:
Mwanakijiji
Mimi sikuelewi labda mimi sielewi,mimi kwa ufahamu wangu mwalimu alikuwa WATCH DOG,yani wakati huo alikuwa anawafundisha wananchi nini cha faa na nini kisichofaa maana enzi hizo waelewa walikuwa wachache na wenda viongozi walichokifanya enzi hizo hawakufahamu konsikwensi za baadae.

Lakini leo unapowaelimisha watu wenyewe waameamuwa kuwa hivyo na wakielewa konsikwensi za badae .
Si kuelewi kabisa.
Kitu ambacho naona huwa tunapoteza mda ni kujaribu kuwaelimisha viongozi wetu namna ya kufanya ili tupate maendeleo ama jinsi ya kukomesha ufisadi huu ni upotevu wa mda.

Hawa watu wanafahamu vizuri sana mbinu za kuleta maendeleo na wanafahamu vizuri sana mbinu za kukomesha ufisadi ila tatizo ni moja kwao MAENDELEO na KUTOKUWEPO UFISADI ni hatuwa mbaya sana kwao na vizazi vyao.
 
mwanakijiji HALLA!

hizi VOCAL umezifanya mwenyewe?

tatizo la uongozi LIPO
 
............ni kweli kabisa!

HALI YA KUSITA SITA!kupanda ndege mara denmark,mara wapi ukirudi MATATIZO YAPO PALEPALE.
 
ni kweli ni lazima uwe na sehemu ya kusimamia!UWE NA UPANDE
 
hahahahahahah!sasa nani ANAJIUMA UMA MENO JUU YA UFISAD?
 
viongozi hawako neutral juu ya wizi huu mkubwa!ila nahisi wao ndio MAINJINIA WA HII PROJECT
 
si kweli kwamba ccm imeumbwa kuitawala tanzania milele!?sasa watu walioko vijijini wanaamini hivyo.mwanakijiji UTAWAFIKISHIAJE UJUMBE HUU?au tuchome cd tupeleke kule mpanda,mbinga,kangaga,pawaga,nk
 
eti ccm SIYO MAMA YENU!

kwi kwi kwi kwi kwi kwi!

HAPO CHAWA
 
mkuu GEOF unaflood jukwaa ila umeongea points tupu.
Mimi mtazamo wangu ni kwamba inapaswa kuihurumia ccm kwa kuinyima kura kwani imeshindwa kukidhi mahitaji ya wakati na imeelemewa sana.
huu ndio wakati wa vyama makini kama Chadema, CUF, NCCRS, TLP(hehe!) n.k kujichimbia na kutuletea sera endelevu zitakazotutekenya nyoyo zetu wakati wa kura ukifika.
 
Nataka hii itengenezwe CD iende kule Busanda.. na kuchezwa kwenye magari na vituo vya burudani..
 
SteveNyerere.jpg

..... Mkjj umedata wewe, he he he, Steve Nyerere could give u a few tips to improve on!
 
Back
Top Bottom