Tgif - end of the month -pay day

Tgif - end of the month -pay day

ELNIN0

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2009
Posts
4,205
Reaction score
1,576
Wakuu

Thanks God is Friday - I got my salary today.
i) kwa hiyo nina uhakika wa kulipa madeni ya mwezi huu kwa mangi ili nianze kukopa tena ya mwezi ujao
ii) Naweza kutoka kula kitimoto na washikaji jioni sababu uchakavu ninao mfukoni
iii) Nina uhakika kwa kwenda kwenye Kihamba changu kesho nikaone nini naweza kukifanya kule - hata kama kununua mifuko miwili ya sementi kuvuta ujenzi wa kibanda
iv) Nitaweza kumtumia mzazi wangu walau kiasi kidogo ajikimu kwa mwezi ujao
v) Nimepanga kuitoa familia yangu sunday - walau mara moja kwa mwezi si mbaya - hata pale Rose garden tu waone bongo inaendaje endaje
vi) Kodi ya nyumba ya Mwaka natakiwa niwe nimeilipa mwezi ujao - duh
vii) Umeme & Maji vinanisubiria

Wakuu, Kwa mgawanyo huu hapo juu basi mshahara wangu umeshaisha - by Jtatu i will be broke again - sasa sijui haya maisha mpaka lini? Nikiangalia pay slip yangu hii sehemu ya PAYE - inanichefua kabisa.

Sipati picha nikizingatia PASAKA inawadia natakiwa walau kubadili menyu ya familia yangu siku hiyo walau wapate pilau na soda.- aisee hii kweli Bongo Dyaslamu --Bila kutumia ubongo wafwaaa.....
 
inabd ujiunge na wajasiriamali, mi nimepanga kujiunga mwezi ujao hapa ndo na pambanua mradi
 
nilisahau kuwa wewe umeanza kulima, ucjali kabisa maisha haya ya ukapa yana mwisho mavuno ya kija utasave nyingi kwa ajili ya mwaka wote unaokuja hakuna kukopa kwa mangi tena,
 
Wakuu

Sipati picha nikizingatia PASAKA inawadia natakiwa walau kubadili menyu ya familia yangu siku hiyo walau wapate pilau na soda.- aisee hii kweli Bongo Dyaslamu --Bila kutumia ubongo wafwaaa.....

Heshima kwako ELNINO,

Vipi ule mradi wa kilimo hapa sijaona mahali umeutaja au umehairisha.
 
Back
Top Bottom