ELNIN0
JF-Expert Member
- Nov 26, 2009
- 4,205
- 1,576
Wakuu
Thanks God is Friday - I got my salary today.
i) kwa hiyo nina uhakika wa kulipa madeni ya mwezi huu kwa mangi ili nianze kukopa tena ya mwezi ujao
ii) Naweza kutoka kula kitimoto na washikaji jioni sababu uchakavu ninao mfukoni
iii) Nina uhakika kwa kwenda kwenye Kihamba changu kesho nikaone nini naweza kukifanya kule - hata kama kununua mifuko miwili ya sementi kuvuta ujenzi wa kibanda
iv) Nitaweza kumtumia mzazi wangu walau kiasi kidogo ajikimu kwa mwezi ujao
v) Nimepanga kuitoa familia yangu sunday - walau mara moja kwa mwezi si mbaya - hata pale Rose garden tu waone bongo inaendaje endaje
vi) Kodi ya nyumba ya Mwaka natakiwa niwe nimeilipa mwezi ujao - duh
vii) Umeme & Maji vinanisubiria
Wakuu, Kwa mgawanyo huu hapo juu basi mshahara wangu umeshaisha - by Jtatu i will be broke again - sasa sijui haya maisha mpaka lini? Nikiangalia pay slip yangu hii sehemu ya PAYE - inanichefua kabisa.
Sipati picha nikizingatia PASAKA inawadia natakiwa walau kubadili menyu ya familia yangu siku hiyo walau wapate pilau na soda.- aisee hii kweli Bongo Dyaslamu --Bila kutumia ubongo wafwaaa.....
Thanks God is Friday - I got my salary today.
i) kwa hiyo nina uhakika wa kulipa madeni ya mwezi huu kwa mangi ili nianze kukopa tena ya mwezi ujao
ii) Naweza kutoka kula kitimoto na washikaji jioni sababu uchakavu ninao mfukoni
iii) Nina uhakika kwa kwenda kwenye Kihamba changu kesho nikaone nini naweza kukifanya kule - hata kama kununua mifuko miwili ya sementi kuvuta ujenzi wa kibanda
iv) Nitaweza kumtumia mzazi wangu walau kiasi kidogo ajikimu kwa mwezi ujao
v) Nimepanga kuitoa familia yangu sunday - walau mara moja kwa mwezi si mbaya - hata pale Rose garden tu waone bongo inaendaje endaje
vi) Kodi ya nyumba ya Mwaka natakiwa niwe nimeilipa mwezi ujao - duh
vii) Umeme & Maji vinanisubiria
Wakuu, Kwa mgawanyo huu hapo juu basi mshahara wangu umeshaisha - by Jtatu i will be broke again - sasa sijui haya maisha mpaka lini? Nikiangalia pay slip yangu hii sehemu ya PAYE - inanichefua kabisa.
Sipati picha nikizingatia PASAKA inawadia natakiwa walau kubadili menyu ya familia yangu siku hiyo walau wapate pilau na soda.- aisee hii kweli Bongo Dyaslamu --Bila kutumia ubongo wafwaaa.....