kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 4,314
- 8,306
TFF Imetangaza Kuingia Mkataba wa Udhamini na Kampuni ya Sandaland The Only one wa Utengenezaji na Usambazaji Wa Jezi za Timu za Taifa za Tanzania Wenye Thamani ya Tsh Bilioni 3 kwa Muda Wa Miaka mitano.
Jezi za Timu zote za Taifa zitahusika,Taifa Stars,Timu za Wanawake na timu ngazi zote za Taifa.
Mwendo wa Soka Letu unaendelea kuwa Bora na hivyo Wadhamini Wanazidi kujitokeza.
Yawezekana Kufuzu Afcon Imekuwa ni chagizo..
Jezi za Timu zote za Taifa zitahusika,Taifa Stars,Timu za Wanawake na timu ngazi zote za Taifa.
Mwendo wa Soka Letu unaendelea kuwa Bora na hivyo Wadhamini Wanazidi kujitokeza.
Yawezekana Kufuzu Afcon Imekuwa ni chagizo..