NguoYaSikuKuu
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 595
- 712
TFF wamekua wazembe sana kwenye suala la muda wa mechi za TAIFA stars. Hii ni mechi ya pili wanapangiwa muda mbovu na CAF wanakubali bila hata kuhoji.
Mechi saa nne usiku ni rafiki kweli kwa nchi yetu na usafiri wa Dar Es Salam? Hawaoni kuwa sio rafiki kwa mashabiki na kwa ushangiliaji wa mechi husika,
Nimeishi South Africa na sijawahi kuona wanapangiwa muda mbovu. Mechi zao zote za timu yao ya Taifa zinapangwa muda rafiki na nchi yao. Je, Karia anaogopa watu wa CAF ?
TFF mbadilike katika hili.
Mechi saa nne usiku ni rafiki kweli kwa nchi yetu na usafiri wa Dar Es Salam? Hawaoni kuwa sio rafiki kwa mashabiki na kwa ushangiliaji wa mechi husika,
Nimeishi South Africa na sijawahi kuona wanapangiwa muda mbovu. Mechi zao zote za timu yao ya Taifa zinapangwa muda rafiki na nchi yao. Je, Karia anaogopa watu wa CAF ?
TFF mbadilike katika hili.