TFF, Bodi ya ligi na Kamati ya saa 72 oneni aibu kutokuwa na mwamuzi yeyote kutoka Tanzania kwenye AFCON

Aug 12, 2020
44
73
Ni aibu sana nchi yenye ligi namba 5 Kwa ubora Africa kutokuwa na Mwamuzi hata m1 huko AFCON.Hivi nyie waamuzi wetu wa Mpira wa Miguu ni lini mtatuondolea hii aibu?

Rwanda na Burundi nchi ndogo kabisa zimepeleka waamuzi nadhani Kuna haja ya TFF kuagiza waamuzi kutoka nchi nyingine kuja kufanya kazi ya uamuzi kwenye ligi zetu.
 
List Kamili ya marefa ni hii hapa. Karibu nchi zote za Afrika zimeotoa refa angalau mmoja isipokuwa Tanzania na Nigeria tu.
 

Attachments

  • CAF_AFCON_OFFICIALS.jpg
    CAF_AFCON_OFFICIALS.jpg
    88.4 KB · Views: 1
Waamuzi wenyewe wanaipa timu mbovu kombe la ligii kuu,timu ambayo inachukua miaka 28 kufika hatua ya makundi club bingwa unategea nini?kuna waamuzi hapo?kipimo cha timu kubwa na bora ni timu inayofanya vizuri kimataifa kwasababu inachezeshwa na waamuzi wenye uweledi na ubora wa hali ya juu na wasiokuwa na njaa ya kuhongwa vibahasha vya mandazi,na pia inakutana na kucheza na timu bora na kubwa barani Afrika...na timu hiyo ni Simba sc
 
Back
Top Bottom