chankele kigoma
Senior Member
- Jan 12, 2017
- 199
- 118
Nashindwa kuelelewa kusudio la Jpm katika hili analodai anapambana na mafisadi nchini naona sawa na mtu anaye fanya kazi ya kupakia mafuta kisha anaoga bila sabuni akitoka anaenda kuwacheka wasio oga
Mimi napata wasiwasi kuwa inawezekana JPM anaweza akawa siyo msafi nakama nimsafi basi anaweza akawa hanamalengo mazuri nataifa letu badae
Kama kweli analipenda Taifa letu na anamalengo mazuri na lengo lake ni kupambana na mafisadi kwanini asijilipue kwa kuruhusu katiba ya Waliyoba ?
Asipofanya hivo anatudanganya na mwisho wa siku hata yeye atakuwa anakula nao mafisadi hao anaogopa nini kuruhusu katiba mpya
Mimi napata wasiwasi kuwa inawezekana JPM anaweza akawa siyo msafi nakama nimsafi basi anaweza akawa hanamalengo mazuri nataifa letu badae
Kama kweli analipenda Taifa letu na anamalengo mazuri na lengo lake ni kupambana na mafisadi kwanini asijilipue kwa kuruhusu katiba ya Waliyoba ?
Asipofanya hivo anatudanganya na mwisho wa siku hata yeye atakuwa anakula nao mafisadi hao anaogopa nini kuruhusu katiba mpya