Naelewa nilichokiandika sana.Hivi do you even understand what you wrote?unajua GPA ya 2.7 kuendelea ni nini?Guys Silent ni JIBU kama majibu mengine,kama kitu ujui shut the hell up!
Naelewa nilichokiandika sana.
Chuo wanapokea GPA ya mwisho kabisa ni 2.7 inamaanisha kama una 2.6 huna vigezo.
Sasa pamoja na kwamba GPA yao ya mwisho ni 2.7 bado ni ndogo sana kupata chuo ikiwa nafasi zitakuwa chache.
Atlist uwe na GPA Kwanzia 3 na kuendelea kwa mfano 3.1, 3.2......
wew ambacho hujaelewa hapo ni nini?
USIKURUPUKE UNAJIKUTA UNASAHIHISHA KUMBE MWENYEWE BOYA
Watu wa diploma hawatengwi ila wengi wao ni wamefaulu kwa kiwango cha chini yaan GPA ya 2.7 had 2.9 sasa itakuwia ngumu kupigania nafasi chache ambazo zinaachiwa ila kama ulifanya vizuri na una GPA ya kwanzia 3 wew chagua tuu chuo huwezi kosa.
Wala usijal.mimi nina GPA ya 3.8 lakini tumbo joto
Pamoja nduguNakuelewa sana ndugu at least umeniondoa hofu
Faculty zote nilizochagua nina vigezo navyo ila nikiangalia Capacity ndo sheeda
Faculty zote nilizochagua nina vigezo navyo ila nikiangalia Capacity ndo sheeda
watu wa diploma hawatengwi ila wengi wao ni wamefaulu kwa kiwango cha chini yaan gpa ya 2.7 had 2.9 sasa itakuwia ngumu kupigania nafasi chache ambazo zinaachiwa ila kama ulifanya vizuri na una gpa ya kwanzia 3 wew chagua tuu chuo huwezi kosa.
hizo tetesi zako ni za uongo maana mimi bado capacity zangu zipo zile zile hazijapungua.. Ingawa jana zilikuwa zero leo zimerudi vile vile
hivi kwawatu wanaotokea diploma uwa wanapata mkopo kweli?
mfano sina mzazi mmoja(baba) arafu nimechagua course ambayo ni priority kweny mkopo