TETESI:Wale wa waloapply degree kupitia nacte

TETESI:Wale wa waloapply degree kupitia nacte

Abby195

Senior Member
Joined
Aug 2, 2015
Posts
183
Reaction score
32
Habar wana JF

kuna mtu kaenda tcu kuuliza kuhusiana application kupitia nacte Inasemekana wale walioapply kupitia nacte km capacity ikionesha zero(0) maana yake huna nafasi ktk iko chuo lkn km capacity ina namba mfano capacity 2 maana yake una possibility kuchaguliwa hapo

But official majina next week according to maafisa wa tcu.....
 
Nashkuru sana mkuu kwa taarifa!!; kwa hiyo mtu kama ana 3 capacity je Atakuwa amesha chaguliwa na je atafanya re-application tena au? MSAADA NAOMBENI!!
 
Nashkuru sana mkuu kwa taarifa!!; kwa hiyo mtu kama ana 3 capacity je Atakuwa amesha chaguliwa na je atafanya re-application tena au? MSAADA NAOMBENI!!

Rudi kasome tena alichokiandk mwenzako..ni kama unauliza majibu
 
Hangahanga kwn umeambiwa ufanye reapplication
 
vp kuhusu kuapgrade nursing toka certificate?, maana wote ninaowafaham na mm nkiwemo hatujachaguliwa na wanasema n elimu ya masafa na chuo n kujitafutia na c nacte,imekaaje ndugu?
 
wale wote wa cheti maombi yao yanapitia NACTE kama unataka ukasome diploma kwa kuchagua chuo unacho taka
 
wakuu nielekezeni what shalli do coz kwenye profile yangu capacity kote ni zero so ndo nshakosa au?
 
wakuu nielekezeni what shalli do coz kwenye profile yangu capacity kote ni zero so ndo nshakosa au?

Official itatangazwa majina n utaratibu hakuna atayekosa km form six tu
 
Asa kwanin watu wa diploma wanatengwa sana yaan mpaka form six wajae ndo wapate watu wa diploma
 
Asa kwanin watu wa diploma wanatengwa sana yaan mpaka form six wajae ndo wapate watu wa diploma

Wa diploma na Form six hawatengwi ila wanakuwa na njia za kujisahili tofauti kwa kuwa wa diploma wapo chini ya nacte. Hivyo NACTE ndo wanajua kuwa huyu mwanafunzi maendeleo yake yapoje
 
Asa kwanin watu wa diploma wanatengwa sana yaan mpaka form six wajae ndo wapate watu wa diploma
Watu wa diploma hawatengwi ila wengi wao ni wamefaulu kwa kiwango cha chini yaan GPA ya 2.7 had 2.9 sasa itakuwia ngumu kupigania nafasi chache ambazo zinaachiwa ila kama ulifanya vizuri na una GPA ya kwanzia 3 wew chagua tuu chuo huwezi kosa.
 
Watu wa diploma hawatengwi ila wengi wao ni wamefaulu kwa kiwango cha chini yaan GPA ya 2.7 had 2.9 sasa itakuwia ngumu kupigania nafasi chache ambazo zinaachiwa ila kama ulifanya vizuri na una GPA ya kwanzia 3 wew chagua tuu chuo huwezi kosa.

Hivi do you even understand what you wrote?unajua GPA ya 2.7 kuendelea ni nini?Guys Silent ni JIBU kama majibu mengine,kama kitu ujui shut the hell up!
 
Back
Top Bottom