Landala
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 997
- 481
Kocha wa timu ya Man u Sir Alex Furgason amesema kuwa timu yake itakata rufaa kutokana na Barcelona kuchezesha wachezaji zaidi ya 11 uwanjani,pia anasema kuwa amedhalilishwa sana timu ya Barcelona kwa pasi walizokuwa wanapiga na kuwafanya wachezaji wote wa Man U kulazwa hospital baada ya mechi kutokana na miili kuuma kutokana na uchovu.