Kijana leo
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 2,860
- 812
basi ambasador wataimba kwetu pazuri, na ni kwanini umeyaruhusu. ila tusubiri tuone.
Wadau leteni tarifa hizi, mimi kuna jamaa kaambiwa na watu wa goma kuwa jamaa kadedi. Na amesema huko goma kuna hekaheka kubwa sana ya taarifa hiyo. Nimejaribu ku_googlea, sikupata matokeo yoyote ya rumours hizo. Wenye taarifa za kweki, tafadhari tujuzeni.
Sasa hapo watutsi wanapata picha gani? mtu anahisiwa kufa halafu wengine wanashangilia! Hapo si inaonyesha ni kiasi gani mtu huyo anavyochukiwa.... mmh! this is telling the world something else.. now PK and his family and all his supporters should know how this man is hated all over..View attachment 131382wanachi wa mji wa Goma wakiwa wamebeba mfano wa jeneza wakisherehekea baada ya Fununu kuhusu kifo cha Pres Kagame kuuwawa. hata hivyo inasemekana kuwa habari hizo zilikuwa ni uongo.
inapofikia hatua jamii ya jirani ikakuchukia kama hivi.jitihada za kumrudia mungu zinahitajika.
Ndugu yangu, kwa kiburi cha kitutsi alichokuwa nacho kagame anajua kama yuko MUNGU kweli?? nahisi yeye ndiye anayejiona kuwa ni mungu...inapofikia hatua jamii ya jirani ikakuchukia kama hivi.jitihada za kumrudia mungu zinahitajika.
Haya mmejibiwa hapa:https://twitter.com/eacvision1/status/421569710308593664/photo/1
===>Fanyeni kazi,acheni majungu.
Hivi wewe akili yako ni nzima kweli? Umepata simu ikisema P.K kauawa, halafu unatuuliza sisi humu kama ni kweli au la! Kuambiwa uambiwe na mwingine, kuulizia ukweli uulizie kwa wengine! Hivi sisi na wewe nani alipaswa kuuliza kama hii habari ni ya kweli au la? BTW: Heading yako inasemaje vile, kwamba Tetesi kweli Kagame ameuawa? Nonsense!Nimepata simu kutoka Bukavu inaeleza Kagame kauawa kweli? Mwenye taarifa zaidi wadau
Nimepata simu kutoka Bukavu inaeleza Kagame kauawa kweli? Mwenye taarifa zaidi wadau
Hivi wewe akili yako ni nzima kweli? Umepata simu ikisema P.K kauawa, halafu unatuuliza sisi humu kama ni kweli au la! Kuambiwa uambiwe na mwingine, kuulizia ukweli uulizie kwa wengine! Hivi sisi na wewe nani alipaswa kuuliza kama hii habari ni ya kweli au la? BTW: Heading yako inasemaje vile, kwamba Tetesi kweli Kagame ameuawa? Nonsense!
Nimepata simu kutoka Bukavu inaeleza Kagame kauawa kweli? Mwenye taarifa zaidi wadau