nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,369
This is a very strong condemnation. Unless you have evidence with what you are saying.
Hakuna kitu kama unawajua sana....unlesss wewe ndo mama uliyemfumania mumeo na camera....kuna maswali yabidi ujiulize....huyo baba kaanza ku-cheat lini? kama alijua mumewe yu mgonjwa kwa nini afanye vituko vyote vile? kwanini ang'anga'anie na aseme kwa ujasiri sana kuwa yeye pale haondoki....na akazungumzia mali za mumewe na jinsi asivyoweza ziacha?mbwembwe zote zile zaweza kuwa zilikuwa kwa ajili ya ku-justify aliyoisha yafanya....manake kuna sumu za kuua taratibu si kila sumu inaua hapo kwa hapo....nyingine zachukua hata miaka,zinaanza figo,maini then mengineyo....nina mashaka sana...yale maandalizi ya fumanizi yanaleta maswali
If only walls could talk....