Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,640
- 697,977
Nilifanya naye kolaboHivyo yule babu wa loliondo alizungumza ukweli si kalisema kutakuwa na matetemeko na yamekuwa duh! Naanza kumuangalia kwa jicho pevu!
Jr
Nilifanya naye kolaboHivyo yule babu wa loliondo alizungumza ukweli si kalisema kutakuwa na matetemeko na yamekuwa duh! Naanza kumuangalia kwa jicho pevu!
Shemahonge
Heviongwa ng'wenetu eka du yani vindhu vitezingiza duMzahumua zege na ijo tetemeko?
😂😂Nilifanya naye kolabo
Jr
Nchi ya kumeguka ni KenyaNitamuamini ikitokea aliposema kuwa kuna nchi itameguka!!
Hii ni fix ya waziwazi!
Kuwa mpole.. Hukuona SIMBA alipomtungua mtu 8 sefuli YANGA walisemaje? Wanamshukuru mganga wao kwakuwa zile goli zilikuwa zao
We utabiri hauwezi labda uendelee kututisha na mapichapicha ya kuzimu na mochwari hiyo ndo fani yako!.
Hita hivyo simuamini pia maana yeye alivyosema ni kuwa tetemeko litaikumba dunia nzima na kuna nchi itajigawa itaenda kujiunga na nchi nyengine!! Halafu hakuta tokea madhara hapo ndipo alipobugi babu yako anakazi nzito ya kuniaminisha nadharia yake hii!!
😂😂Kuwa mpole.. Hukuona SIMBA alipomtungua mtu 8 sefuli YANGA walisemaje? Wanamshukuru mganga wao kwakuwa zile goli zilikuwa zao
Bado nasimamia utabiri wangu ulikuwa sahihi
Jr
Sidhan Kama bonde la ufa Limepita TangaKwani lushoto imepitiwa na rift valley???? how this??? ina maana hata Dsm laweza kupita...Ye ye yeeee I can't imagine effects zake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Masikini Serikali wala haijui na huko ndiyo mko na Makamba. Kwisha habari yenuNipo Lushoto kikazi,majira ya saa tatu na dakika 40 limepita tetemeko la ardhi kali sana,hadi sasa hakuna madhara yaliyolipotiwa....tutawajuza zaidi.
Nitakuwa naswali moja juu yako ulitabiri nini na kilitokea nini...?
Duh, Poleni sana huko Comrade. Ninakuomba sana kama hutajali ufuatilie na kutupa feedback hapa...maana wengine ndio tulikozaliwa huko. Pole sana Mkuu...Nipo Lushoto kikazi,majira ya saa tatu na dakika 40 limepita tetemeko la ardhi kali sana,hadi sasa hakuna madhara yaliyolipotiwa....tutawajuza zaidi.
Ulitabiri Simba itashinda lkn walikutana na pigo😜 nashangaa sahivi unataka utie chumvi mara ulozi! Tulia wewe fani nyengine unayoiweza ni koneksheni 😂 siku ukipata nyengine usisite kunitumia! Wanasema kizuri kula na nduguyo kibaya pambana nacho 😜😜😜Majibu unayo
Jr
Ulitabiri Simba itashinda lkn walikutana na pigo nashangaa sahivi unataka utie chumvi mara ulozi! Tulia wewe fani nyengine unayoiweza ni koneksheni siku ukipata nyengine usisite kunitumia! Wanasema kizuri kula na nduguyo kibaya pambana nacho
😂😂
Wao wanajua ' ni majini kama mane ivi nee yataghooshana...'Mzee wasambaa hawajui huyo Richter scale ni kitu gani