Madimba jr
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 1,577
- 3,138
Nipo Lushoto kikazi,majira ya saa tatu na dakika 40 limepita tetemeko la ardhi kali sana, hadi sasa hakuna madhara yaliyolipotiwa....tutawajuza zaidi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HorohoroHata mie nimehisi kama Kiti nilichokalia kinatingishika - Niko Holoholo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee wasambaa hawajui huyo Richter scale ni kitu ganini la kipimo cha Richter scale ngapi mkuu?
ngoja nikamuulize balozi Mshangama😁ni la kipimo cha Richter scale ngapi mkuu?
Mzahumua zege na ijo tetemeko?
mzahumua ni salam kam sikoseiMzahumua zege na ijo tetemeko?
Hivyo yule babu wa loliondo alizungumza ukweli🙄 si kalisema kutakuwa na matetemeko na yamekuwa duh! Naanza kumuangalia kwa jicho pevu!
Tuwaheshimu watumishi wa MunguHivyo yule babu wa loliondo alizungumza ukweli si kalisema kutakuwa na matetemeko na yamekuwa duh! Naanza kumuangalia kwa jicho pevu!