Kuna tetemeko la ardhi limepita hapa Kasulu Kigoma leo tarehe 09/09/2019 majira ya saa 9:40 kamasekunde 20 hivi. Nadhani kuna sehemu limesikika zaidi ukanda wa magharibi. Hakuna madhara yoyote maana halikiww kubwa..
Nawasilisha
Nlikua Club apa FM daaaaah tukatoka mbio balaa tulijua inataka kuangukaKuna tetemeko la ardhi limepita hapa Kasulu Kigoma leo tarehe 09/09/2019 majira ya saa 9:40 kamasekunde 20 hivi. Nadhani kuna sehemu limesikika zaidi ukanda wa magharibi. Hakuna madhara yoyote maana halikiww kubwa..
Nawasilisha
Nipo hapa Ngara, Kagera limepiga muda huo alfajir ya Leo. Hakuna madharaTunashukuru hakuna madhara yaliyoyokea
Mleta uzi ameandika tarehe kuashiria kuwa ni leo hii tukio hilo limetokea na tangu leo ianze ni 9:40 moja tu imeshapita, hiyo ya pili bado. Hivyo tunahitimisha kuwa bila ya shaka yoyote kuwa tukio limetokea wakati uliopita! Shukran.Saa 9:40 ziko mbili kila siku. Mtu makini na aliyeenda shule lazima abainishe (specify) ni saa 9 ipi kati ya hizo mbili. Natambua shule umekwenda, sasa ongeza umakini.
Nlikua Club apa FM daaaaah tukatoka mbio balaa tulijua inataka kuanguka
Saa 9:40 ziko mbili kila siku. Mtu makini na aliyeenda shule lazima abainishe (specify) ni saa 9 ipi kati ya hizo mbili. Natambua shule umekwenda, sasa ongeza umakini.
Hahaa jf bhana.Hapa katavi ilikua balaa mida ya sa8 usiku nikajua parapanda tiyari imelia