Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 42,405
- 104,820
Nimeitika Amigo....Comrade nakusalimia
Naona hapa wenye magari wanataka wang'oe totoz wetu humu jf....tehteehh
Nimeitika Amigo....Comrade nakusalimia
Volkswagen Golf gti,hongera kwa kununua kibaby walker. Halafu kuna mahali ulimponda mtu kwa kuendesha mark x ukasema ni ten year old car nkajua una velar ya 2017,hii yenyewe tu pia ni ten years old
watu mnakumbukumbu kama shetaniiMnajua kufukunyuaHawezi jibu sababu nimemshika pabaya