Test Drive

Test Drive

Dogo una majungu utafikiri mzee ambae maisha yamemshinda. Sasa ukizeeka utakuwaje?! Yaani umekaa kimajungumajungu get a life young man.
Wala hata hamna majungu ni wewe tu umewaza -ve
 
Im super +ve ndio maana always im talking about good/finer things in life which in turn irk some few -ve people in here.
you are right though there is no modality to verify how super +ve you are!!
 
kwa speed hiyo wakikupiga tochi pale kwa mwarabu chalinze kabla picha haijafika vigwaza mahakamani unakuwa ushapita full wazee kuulizana umepita wapi!
 
Golf GTI, mashine ya Mjerumani. Karibu katika familia ya VW. Barabara ya Airport ni nzuri sana kuanzia saa 5 usiku au Sam Nujoma.
 
Nenda Sam Nujoma then shika bagamoyo road mpk Makonde itakuw imetosha sana.. usisahau mrejesho
 
Hii inabidi ukaijaribu sebuleni kwako kwenye tiles
 
Ni gari inayouzika ahead of
Mercedes-Benz and Audi
Ni gari nzuri
Hongera
 
  • Thanks
Reactions: sab
Kaombe pale JKNA kwenye kale kabarabara zinaposhukia 'birds' upae nalo
 
  • Thanks
Reactions: sab
Back
Top Bottom