Tendwa sasa atishia kukifuta CHADEMA

Tendwa sasa atishia kukifuta CHADEMA

Its true umuri umekwenda sana hana jipya anatakiwe apumzike YUPO KWA SABABU YA PETE ZA MAJINI
Ushirikina una mwsho 2015 wachawi wote mtatupisha
Tendwa1.jpg

Tendwa na pete ya majini

Ka ndondocha vile
 
Vipo vyama mbadala kibao ,nia na madhumuni ni kiondoa CCM na uhuni wake madarakani ,baadae tukimaliza kuiondoa tutagawana mbao na kuweka misingi mizuri tu ya kuendesha siasa zetu. Na vyama vilivyofutwa vitaruhusiwa kurudi ,Tendwa tutamfilisi kila kitu hata kama ana miliki baiskeli au paka.Kushinda azimio la Arusha.


Mwiba umeongea jambo moja la maana sana. Natamani Watz wote tungeelewa hilo!
 
Tatizo la Tendwa haelewi hata akifuta chama sio kama amezifuta hisia za watanzania.Atakuwa amefuta jina tu,moyo utabaki palepale.
 
Msajili wa vyama vya siasa nchini John Tendwa amesema sasa amechoka kusikia mauaji kwenye mikutano ya kisiasa ya CDM na atatumia rungu lake kufutia usajili chama chochote kitakachoshindwa kutunza amani ya nchi.Tendwa amewaambia waandishi wa habari hatishiki na chama chochote kuwa na wabunge kwani sheria inamruhusu kufuta chama hata kama kina wabunge 100.

Katika hali ya kushangaza Tendwa ameshauri vyama visubiri nyajati za uchaguzi ndipo vifanye mikutano ya kisiasa.Hata hivyo amekiri sheria inaruhusu vyama kufanya mikutano na maandamano wakati wowote.

Source:Habari Radio Tumaini.

Huyu Tendwa ana wazimu, mwehuuu, au msengen yaji
 
Tatizo la hiki kizee kinatumika tu hata kenyewe hakichanganyi japo akili yake kidogo. Sikipendi!!!
 
Vipo vyama mbadala kibao ,nia na madhumuni ni kiondoa CCM na uhuni wake madarakani ,baadae tukimaliza kuiondoa tutagawana mbao na kuweka misingi mizuri tu ya kuendesha siasa zetu. Na vyama vilivyofutwa vitaruhusiwa kurudi ,Tendwa tutamfilisi kila kitu hata kama ana miliki baiskeli au paka.Kushinda azimio la Arusha.

Mkuu Mwiba nikubaliane na wewe.Huyu Tendwa ni janga la Taifa.Nimepata tetesi ameisajili harakaharaka ADC ili kuua nguvu ya CUF Zanzibar.Huu ujumbe nilipewa na mtu ninayemwamini sana aliyeko serikalini.Nadhani umefika wakati sasa wa CDM na CUF kuweka tofauti pembeni na kupambana na huyu Mhalifu Tendwa...
 
Msajili wa vyama vya siasa nchini John Tendwa amesema sasa amechoka kusikia mauaji kwenye mikutano ya kisiasa ya CDM na atatumia rungu lake kufutia usajili chama chochote kitakachoshindwa kutunza amani ya nchi.Tendwa amewaambia waandishi wa habari hatishiki na chama chochote kuwa na wabunge kwani sheria inamruhusu kufuta chama hata kama kina wabunge 100.

Katika hali ya kushangaza Tendwa ameshauri vyama visubiri nyajati za uchaguzi ndipo vifanye mikutano ya kisiasa.Hata hivyo amekiri sheria inaruhusu vyama kufanya mikutano na maandamano wakati wowote.

Source:Habari Radio Tumaini.

Watu bado tuna msiba na machungu ya kuondokewa na mpendwa watu analeta usengen yaji hapa. Kama ni ushoga huko huko na mabwana zake. Ajaribu aone.
 
Msajili wa vyama vya siasa nchini John Tendwa amesema sasa amechoka kusikia mauaji kwenye mikutano ya kisiasa ya CDM na atatumia rungu lake kufutia usajili chama chochote kitakachoshindwa kutunza amani ya nchi.Tendwa amewaambia waandishi wa habari hatishiki na chama chochote kuwa na wabunge kwani sheria inamruhusu kufuta chama hata kama kina wabunge 100.

Katika hali ya kushangaza Tendwa ameshauri vyama visubiri nyajati za uchaguzi ndipo vifanye mikutano ya kisiasa.Hata hivyo amekiri sheria inaruhusu vyama kufanya mikutano na maandamano wakati wowote.

Source:Habari Radio Tumaini.


Kichefuchefu.
 
Daaa!!!! kweli Mungu si Athumani, wangekifuta hikichama cha wanyonge kisichokuwa na mtetezi
 
Its true umuri umekwenda sana hana jipya anatakiwe apumzike YUPO KWA SABABU YA PETE ZA MAJINI
Ushirikina una mwsho 2015 wachawi wote mtatupisha
Tendwa1.jpg

Tendwa na pete ya majini

Kweli haka katakuwa kachawi
 
Hivi kwa akili ndogo tu na ya kawaida katika mikutano yote ya CDM aliyeanzisha vurugu ni CDM au polisi/ na isitishe hata walioua pia ni pilisi sasa CDM kifutwe kwa lipi? huyu tendwa naona katendwa ndo maana anaongea vitu visivyopimika kwa mtu mwenye upeo wa kufikiri kwa kina. Mauaji ya Songea CDM walikuwepo? mauaji ya Nyamongo CDM walikuwepo ningemuona mwenye busara sana huyu mzee kama angekemea mauaji hayo ya polisi.
 
Msajili wa vyama vya siasa nchini John Tendwa amesema sasa amechoka kusikia mauaji kwenye mikutano ya kisiasa ya CDM na atatumia rungu lake kufutia usajili chama chochote kitakachoshindwa kutunza amani ya nchi.Tendwa amewaambia waandishi wa habari hatishiki na chama chochote kuwa na wabunge kwani sheria inamruhusu kufuta chama hata kama kina wabunge 100.

Katika hali ya kushangaza Tendwa ameshauri vyama visubiri nyajati za uchaguzi ndipo vifanye mikutano ya kisiasa.Hata hivyo amekiri sheria inaruhusu vyama kufanya mikutano na maandamano wakati wowote.

Source:Habari Radio Tumaini.


Si aseme tu analotaka kusema kuwa anataka kukifuta CDM? Kwa nini anaweka vitendawili asiongee analotaka kulisema hadharani, kwani anaposema vyama visubiri wakati wa uchaguzi ndipo vifanye mikutano anaongelea chama gani? Akumbuke kuwa hata TANU kabla ya uhuru wa Tanganyika ilipigwa ban, na mikutano ikaendelea, na nchi yetu tukaichukua. Sembuse hii serikali ya kisanii? Wanaoleta fujo na kuua anawajua mbona hawasemi hadharani, katumwa kututisha? Hizo ngonjera za ccm awapelekee huko huko. Mpaka kieleweke...
 
Daaa!!!! kweli Mungu si Athumani, wangekifuta hikichama cha wanyonge kisichokuwa na mtetezi

Mwacheni Mungu aitwe Mungu mkuu.Teknolojia imewaumbua wauaji wa Mwangosi sasa wanatamani ardhi ipasuke wajifiche humo!
 
Its true umuri umekwenda sana hana jipya anatakiwe apumzike YUPO KWA SABABU YA PETE ZA MAJINI
Ushirikina una mwsho 2015 wachawi wote mtatupisha
Tendwa1.jpg

Tendwa na pete ya majini


Huyu dingi hatofautiani na mas
hoga
 
mimi ninaamini kwamba sifa ya msomi yeyote anajiamini na aendeshwi kama mbuzi kufuata kamba, yuko tayari kujiuzulu kama akiona taaluma yake inachezewa. Hivyo TENDWA asikubali kuendeshwa, haiingii akilini unaposema mikutano iwe wakati wa uchaguzi na wakati huo huo unasema mikutano na maandamano ni haki wakati wowote unapotaka.
 
Si aseme tu analotaka kusema kuwa anataka kukifuta CDM? Kwa nini anaweka vitendawili asiongee analotaka kulisema hadharani, kwani anaposema vyama visubiri wakati wa uchaguzi ndipo vifanye mikutano anaongelea chama gani? Akumbuke kuwa hata TANU kabla ya uhuru wa Tanganyika ilipigwa ban, na mikutano ikaendelea, na nchi yetu tukaichukua. Sembuse hii serikali ya kisanii? Wanaoleta fujo na kuua anawajua mbona hawasemi hadharani, katumwa kututisha? Hizo ngonjera za ccm awapelekee huko huko. Mpaka kieleweke...

Sasa chama cha msimu kinawapelekesha hadi Tendwa anatoka shimoni kupigania uhai wa CCM.
 
Tendwa hivi si ulimkataza Lema asiende arumeru mashariki kwani wazee wameapa kumuua?? Leo unakuja na single nyingine...yetu macho....elewa unapambana na Nguvu ya Umma
 
Back
Top Bottom