Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Vipo vyama mbadala kibao ,nia na madhumuni ni kiondoa CCM na uhuni wake madarakani ,baadae tukimaliza kuiondoa tutagawana mbao na kuweka misingi mizuri tu ya kuendesha siasa zetu. Na vyama vilivyofutwa vitaruhusiwa kurudi ,Tendwa tutamfilisi kila kitu hata kama ana miliki baiskeli au paka.Kushinda azimio la Arusha.
hivi systems za JF zinaruhusu members tofauti tofauti kutumia ID moja?