Tendo la ndoa sio kwa starehe

Tendo la ndoa sio kwa starehe

Mangwea1900

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2025
Posts
2,485
Reaction score
3,224
Imenilazimu kutoa elimu kwa wanadamu wenzangu ili warudi kwenye mstari sababu naona shimoni tunaelekea.
Nimejaribu kufuatilia MAISHA ya wazee wetu na hata baadhi ya maandiko.
1: ukifuatilia maisha ya adamu katika maandiko ni kuwa kila "alimpojua" mke wake, mtoto alizaliwa.

2: wazee wa kale hawakulala chumba kimoja au kitanda kimoja. Walikuwa wakikutana kwa ajili ya kutafuta mtoto tu na sio vinginevyo.

Sababu ya mabadiliko;

  • Picha za ngono zimebadili akili za wanadamu kuona tendo hilo ni kwa ajili ya starehe.
  • Uzazi wa mpango kwa njia za kigeni.
  • Sinema na movies za kigeni.
  • Utandawazi kwa ujumla wake hasa katika mwingiliano wa mila na desturi.
  • Madhara yake;
1: idadi ndogo watoto katika familia.

2: upungufu wa nguvu za kiume na kike.

3: magonjwa ya ngono kwa ujumla wake.

4: ndoa kivunjika mapema sababu ya uzoefu wa ngono kwa wanandoa.

Mengine ongeza wewe JF member including
Madenge Kilewa pangalashaba
 
Imenilazimu kutoa elimu kwa wanadamu wenzangu ili warudi kwenye mstari sababu naona shimoni tunaelekea.
Nimejaribu kufuatilia MAISHA ya wazee wetu na hata baadhi ya maandiko.
1: UKIFUATILIA MAISHA YA ADAMU KATIKA MAANDIKO NI KUWA KILA "ALIMPOJUA" MKE WAKE, MTOTO ALIZALIWA.
2: WAZEE WA KALE HAWAKULALA CHUMBA KIMOJA AU KITANDA KIMOJA. WALIKUWA WAKIKUTANA KWA AJILI YA KUTAFUTA MTOTO TU NA SIO VINGINEVYO.
SABABU YA MABADILIKO;
  • PICHA ZA NGONO ZIMEBADILI AKILI ZA WANADAMU KUONA TENDO HILO NI KWA AJILI YA STAREHE.
  • UZAZI WA MPANGO KWA NJIA ZA KIGENI.
  • SINEMA NA MOVIES ZA KIGENI.
  • UTANDAWAZI KWA UJUMLA WAKE HASA KATIKA MWINGILIANO WA MILA NA DESTURI.
  • MADHARA YAKE;
1: IDADI NDOGO WATOTO KATIKA FAMILIA.
2: UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA KIKE.
3: MAGONJWA YA NGONO KWA UJUMLA WAKE.
4: NDOA KIVUNJIKA MAPEMA SABABU YA UZOEFU WA NGONO KWA WANANDOA.
MENGINE ONGEZA WEWE JF MEMBER including Madenge Kilewa pangalashaba
PICHA ZA NGONO ZIMEBADILI AKILI ZA WANADAMU KUONA TENDO HILO NI KWA AJILI YA STAREHE.
UZAZI WA MPANGO KWA NJIA ZA KIGENI.
SINEMA NA MOVIES ZA KIGENI.
UTANDAWAZI KWA UJUMLA WAKE HASA KATIKA MWINGILIANO WA MILA NA DESTURI.
MADHARA YAKE;
 
Imenilazimu kutoa elimu kwa wanadamu wenzangu ili warudi kwenye mstari sababu naona shimoni tunaelekea.
Nimejaribu kufuatilia MAISHA ya wazee wetu na hata baadhi ya maandiko.
1: ukifuatilia maisha ya adamu katika maandiko ni kuwa kila "alimpojua" mke wake, mtoto alizaliwa.

2: wazee wa kale hawakulala chumba kimoja au kitanda kimoja. Walikuwa wakikutana kwa ajili ya kutafuta mtoto tu na sio vinginevyo.

Sababu ya mabadiliko;

  • Picha za ngono zimebadili akili za wanadamu kuona tendo hilo ni kwa ajili ya starehe.
  • Uzazi wa mpango kwa njia za kigeni.
  • Sinema na movies za kigeni.
  • Utandawazi kwa ujumla wake hasa katika mwingiliano wa mila na desturi.
  • Madhara yake;
1: idadi ndogo watoto katika familia.

2: upungufu wa nguvu za kiume na kike.

3: magonjwa ya ngono kwa ujumla wake.

4: ndoa kivunjika mapema sababu ya uzoefu wa ngono kwa wanandoa.

Mengine ongeza wewe JF member including
Madenge Kilewa pangalashaba
Una changamoto kichwani mwako.Kunywa uji wa moto.
 
Imenilazimu kutoa elimu kwa wanadamu wenzangu ili warudi kwenye mstari sababu naona shimoni tunaelekea.
Nimejaribu kufuatilia MAISHA ya wazee wetu na hata baadhi ya maandiko.
1: ukifuatilia maisha ya adamu katika maandiko ni kuwa kila "alimpojua" mke wake, mtoto alizaliwa.

2: wazee wa kale hawakulala chumba kimoja au kitanda kimoja. Walikuwa wakikutana kwa ajili ya kutafuta mtoto tu na sio vinginevyo.

Sababu ya mabadiliko;

  • Picha za ngono zimebadili akili za wanadamu kuona tendo hilo ni kwa ajili ya starehe.
  • Uzazi wa mpango kwa njia za kigeni.
  • Sinema na movies za kigeni.
  • Utandawazi kwa ujumla wake hasa katika mwingiliano wa mila na desturi.
  • Madhara yake;
1: idadi ndogo watoto katika familia.

2: upungufu wa nguvu za kiume na kike.

3: magonjwa ya ngono kwa ujumla wake.

4: ndoa kivunjika mapema sababu ya uzoefu wa ngono kwa wanandoa.

Mengine ongeza wewe JF member including
Madenge Kilewa pangalashaba
Kwa wewe huwa "unamjua" mkeo siku tu ukiwa unataka mtoto otherwise mnalala vyumba tofauti? Umerudi kwenye mstari?
 
Back
Top Bottom