Mtoto wa Jadu
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 451
- 1,090
- Thread starter
- #161
Sijaelewa bado!Sasa bila shaka umeelewa kwa nini tendo la ndoa linafanyika sirini. Acha bangi
Kwanini wazazi wako wanafanyia sirini!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijaelewa bado!Sasa bila shaka umeelewa kwa nini tendo la ndoa linafanyika sirini. Acha bangi
Wale wahindi wekundu aliewasema mdau mmoja hapa, mbona kasema kuwa wanafanyia hadharani!?Ni kwa ajili ya wewe na partner wako si kwa ajili ya wote na ndiyo maana nimekuambia kama unaona vipi basi wewe fanya hadharani tuone.
Wale wahindi wekundu aliewasema mdau mmoja hapa, mbona kasema kuwa wanafanyia hadharani!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo haifanyiki hadharani kwa sababu za kimila!?Mila yao inaruhusu, je, wewe yako inaruhusu?
ukiona hivyo ujue ustaarabu haujaingia makwao. bado wako zama za kale za mawe.Mkuu Miyoga, kuna mdau humu amesema zipo jamii zinaacha wazi viungo vile!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Anza wewe kufanya hadharani wengine watafuata...kila jambo linamwanzilishi bwana...Wanabodi,
Binafsi huwa sielewi kwanini ni busara kufanya tendo hilo sehemu ambapo hamtaonekana na mwingine yaani sirini!?
Je kuna ubaya gani kulifanya tendo hilo hadharani au sehemu ambapo kuna watu!?
Ni siri ipi hiyo ifichwayo!?
Karibuni!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua kusoma?Mkuu kama ulishawahi kufanya hadharani basi tuambie kuwa kwanini si busara kufanyia hadharani.
Tuambie kilichokukuta mkuu, ulipofanya tendo hilo hadharani!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungesema hayo, na kukazia kwa nini unasema hivyo!?
Huyu jamaa anakaribia kuonja Mavi!sababu ni tendo la siri
mkuu una mawazo ya kibwege sana
samahani lakini
Hicho kiingilio sijui itakuwa sh?Naamini wananchi wengi watapenda kuona hiyo match kwa kuwa sio rahisi kupata wasaa wa kuiona mara kwa mara
Viungo viko sehemu za siri, sasa vitafanyaje kazi sehemu za wazi? Nadhani utakuwa umeelewa sasaWanabodi,
Binafsi huwa sielewi kwanini ni busara kufanya tendo hilo sehemu ambapo hamtaonekana na mwingine yaani sirini!?
Je kuna ubaya gani kulifanya tendo hilo hadharani au sehemu ambapo kuna watu!?
Ni siri ipi hiyo ifichwayo!?
Karibuni!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa hujavuta lakini ww . Eti limafanywe hadharani daahWanabodi,
Binafsi huwa sielewi kwanini ni busara kufanya tendo hilo sehemu ambapo hamtaonekana na mwingine yaani sirini!?
Je kuna ubaya gani kulifanya tendo hilo hadharani au sehemu ambapo kuna watu!?
Ni siri ipi hiyo ifichwayo!?
Karibuni!!
Sent using Jamii Forums mobile app