dafity
JF-Expert Member
- Aug 16, 2008
- 1,881
- 2,091
Hadharani hata uume hautasimama na ukisimama ukafanya hata kileleni hutafika. Shubaamiit...
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Mawazo yapi ya ajabu hayo mkuu?! Na kwanini unahisi ni ya ajabu!?[emoji848]Watu wakishiba ugal na kisamvu haya ndo matokeo yake mawazo ya ajabu ajabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Linatumia viungo vya SIRI!Wanabodi,
Binafsi huwa sielewi kwanini ni busara kufanya tendo hilo sehemu ambapo hamtaonekana na mwingine yaani sirini!?
Je kuna ubaya gani kulifanya tendo hilo hadharani au sehemu ambapo kuna watu!?
Ni siri ipi hiyo ifichwayo!?
Karibuni!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Majibu gani hayo mkuu ambayo unahisi ninayo?![emoji848][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ana majibu yake anayoyataka. Ukimjibu anakuja na swali lingine. Woooiiii!!
Asante kwa jibu hili liletalo mantiki, mkuu -KANA-Mazoea hujenga tabia, tabia ndio msingi wa utamaduni. Utamaduni ni uwanja mpana wenye mila na desturi ndani yake!
Nadhani umepata kitu (kama una nia ya kupata kitu).
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungesema hayo, na kukazia kwa nini unasema hivyo!?Swali la kiFala sana hilo
Je, kama nyuchi (wingi wa uchi) zenu haziwezi onwa na mtu kutokana na style muitumiayo kufanya, unaweza kufanyia hadharani mkuu!?Kama unaweza kutembea tupu mbele za watu basi utaweza kufanya matusi mbele za watu, kikubwa kinachofichwa ni uchi
Sent using Jamii Forums mobile app
You are JF Great Thinker!!Hakuna jamii ambayo tendo la ndoa linafanyika hadharani mkuu.
Na kusema ni cultural behaviour hakumaanishi kuna wengine wanafanya hadharani..
But, in pyschology ambayo viumbe wengi wamekuwa nayo hata viumbe ambao sio wanadamu...
Binadamu yoyote amekuwa akiwa na fikra za kuwa lile tendo linalohitaji faragha ya watu wawili tuu na hii ndio imekuwa siri ya hilo tendo kufanyika kwa siri.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Ziko picha za POORNO, kwa hivi hakuna siri, tendo la siri ni wakati wa KUKATA KIMBA AU GOGO. na ndio maana huwezi mkuta mtu amejiselfie huku alikata KIMBA.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23]Hadharani hata uume hautasimama na ukisimama ukafanya hata kileleni hutafika. Shubaamiit...
Sent using Jamii Forums mobile app
Viungo vile vina siri gani hiyo, inayosababisha tendo lile kuwa la siri!?Linatumia viungo vya SIRI!
Ni kweli mkuu!!Swali zuri sana, sema wapuuzi watalipuuza.
Hili tendo lingekuwa lafanyika hadharani lingeonekana la kawaida sana.
Ila ndo tunapo elekea
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mbona hili si la kujiulizaWanabodi,
Binafsi huwa sielewi kwanini ni busara kufanya tendo hilo sehemu ambapo hamtaonekana na mwingine yaani sirini!?
Je kuna ubaya gani kulifanya tendo hilo hadharani au sehemu ambapo kuna watu!?
Ni siri ipi hiyo ifichwayo!?
Karibuni!!
Sent using Jamii Forums mobile app