Tendo la ndoa: Kwanini hufanyika sirini

Tendo la ndoa: Kwanini hufanyika sirini

We Jaribu Kufanya hadharani afu utaona nini kisichokuwa sirini tena yaani utaelewa tu
kajaribu leo afu utatupa mrejesho hapa
Mkuu kama ulishawahi kufanya hadharani basi tuambie kuwa kwanini si busara kufanyia hadharani.

Tuambie kilichokukuta mkuu, ulipofanya tendo hilo hadharani!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NAKAZIA:
Eneo alipo ajitahidi kufanyia kwenye uwanja mfano wa mpira, kama sie Mwanza tuna CCM Kirumba, halafu apitishe matangazo kuwa kutakuwa na huo "mchezo" atangaze na kiingilio kabisa cha watazamaji, atavuna hela sana.
Kwanini unasema nitapata sana pesa mkuu NAHUJA ?

Kwani wewe ulishawahi kufanya hivyo na ukapata pesa nyingi?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom