Tendo la ndoa: Kwanini hufanyika sirini

Tendo la ndoa: Kwanini hufanyika sirini

Kwanini lifanywe faragha?

Nilivyo muelewa mleta mada ni kwamba, tendo hilo limekuwa likifanywa sirini au faraghani.

Sababu kubwa ni kwakua kwa muda mrefu tumekuwa tukiyaficha viungo vya uzazi km seh isiyopaswa kuwa wazi kama viungo vingine kama mdomo, mikono, vidole nk.

Naamini hivi viungo vingeachwa wazi kusingekuwa na usiri wa tendo la ndoa zaidi ya kuonekana ni jambo la kawaida kama wanyama wanavyoishi.

Kama ulisha wahi ona jamii za wahindi wekundu na jamii nyingine zinazo ishi msituni, unakuta maungk haya yameachwa wazi kuanzia watoto hadi wazee, na hakuna hata mmoja anae mshangaa mwezie. Wote wanaviona hivyo viungo km viungo vingine vya mwili tu.

Lakini tuendako huko, miaka 100 mbele, kuna nchi zitaweka sheria ya watu wanaotaka uhuru wa kukaa uchi na kutembea wanavyotaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Maelezo uliyoyatoa bado hayajustify swali ulilouliza uliponiquote!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Viungo vyenyewe vinavyohusika ni VIUNGO VYA SIRI sasa yanini kifanyia hadharani
 
Mkuu badilisha mtazamo!, uwe unamtafuna manzi ako hadharani , ili iyo dhana iondoke!
 
Wanabodi,

Binafsi huwa sielewi kwanini ni busara kufanya tendo hilo sehemu ambapo hamtaonekana na mwingine yaani sirini!?

Je kuna ubaya gani kulifanya tendo hilo hadharani au sehemu ambapo kuna watu!?

Ni siri ipi hiyo ifichwayo!?

Karibuni!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni maamuzi tuu kwani ukifanyia sokoni haingii


Hapo ndio utajua sababu za kukojoa kitandani ndio ndoto pekee iliyo ya kweli kwa mtanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Adamu alipokula tunda , Mungu alimuita na akafunika ile sehemu kwa majani kwani kabla ya hapo alitembea tu mtambo nje . Maadamu babu yetu alifunika nawe unapaswa ufanye kwa siri tena kwa kujificha . Tuwaache tu kuku wafanye hadharani kwa raha zao

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa, lakini bado haujaitaja sababu ya kufanyia sirini mkuu!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi,

Binafsi huwa sielewi kwanini ni busara kufanya tendo hilo sehemu ambapo hamtaonekana na mwingine yaani sirini!?

Je kuna ubaya gani kulifanya tendo hilo hadharani au sehemu ambapo kuna watu!?

Ni siri ipi hiyo ifichwayo!?

Karibuni!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sababu tendo lenyewe linahusisha sehemu za siri. Kama mwili wsko hauna sehemu za siri, yaani una sehemu za wazi tu, bila shaka hutashindwa kufanya tendon hilo sehemu ya wazi huku watu wakikuangalia. So long as unatumia sehemu zinazoitwa za siri, tendon titabaki kufanywa katika usiri.
 
Ni ushamba tuu,mbona hizi watu wanafanya hadi kwenye madaladala...na wewe jaribu uone raha yake!
 
Back
Top Bottom