Tendo la ndoa: Kwanini hufanyika sirini

Tendo la ndoa: Kwanini hufanyika sirini

Mkuu mbona hili si la kujiuliza
Maana hata halihitaji majibu ya wengi

Kaka yako aweza kuwa na mke zaidi ya mmoja na akawahudumia wote ili hali wewe huna hata mmoja

Je, kwanini asingekupa umsaidie japo mmoja?

Sent using Jamii Forums mobile app
Pengine una pointi mkuu, japo maelezo haya sijaelewa bado yana uhusiano gani na usiri wa tendo lile!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili tendo lingekuwa lafanyika hadharani lingeonekana la kawaida kama tunavyokula hadharani, au kucheza hadharani.

Sema sasa kwakua ilishajengeka fikra na kutengenezewa mazingira haya kwa muda mrefu, ndio maana limeonekana la siri na lisivyo la kawaida.
 
Zipo nyingi sababu miongoni mwa Hizo ni kuohofia Kuja mwingine kuingizaa ktk tundu lililo wazi baada ya Kuwa unafaidi Ikawa nawe wanakufaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Adamu alipokula tunda , Mungu alimuita na akafunika ile sehemu kwa majani kwani kabla ya hapo alitembea tu mtambo nje . Maadamu babu yetu alifunika nawe unapaswa ufanye kwa siri tena kwa kujificha . Tuwaache tu kuku wafanye hadharani kwa raha zao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi,

Binafsi huwa sielewi kwanini ni busara kufanya tendo hilo sehemu ambapo hamtaonekana na mwingine yaani sirini!?

Je kuna ubaya gani kulifanya tendo hilo hadharani au sehemu ambapo kuna watu!?

Ni siri ipi hiyo ifichwayo!?

Karibuni!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakushauri ukafanye kwanza hadharani halafu ndo uje utuambie ulijisikiaje!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeelewa hiyo comment uliyoiquote?

Kuna sehemu inasema tendo la ndoa ni tendo la faragha?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini lifanywe faragha?

Nilivyo muelewa mleta mada ni kwamba, tendo hilo limekuwa likifanywa sirini au faraghani.

Sababu kubwa ni kwakua kwa muda mrefu tumekuwa tukiyaficha viungo vya uzazi km seh isiyopaswa kuwa wazi kama viungo vingine kama mdomo, mikono, vidole nk.

Naamini hivi viungo vingeachwa wazi kusingekuwa na usiri wa tendo la ndoa zaidi ya kuonekana ni jambo la kawaida kama wanyama wanavyoishi.

Kama ulisha wahi ona jamii za wahindi wekundu na jamii nyingine zinazo ishi msituni, unakuta maungk haya yameachwa wazi kuanzia watoto hadi wazee, na hakuna hata mmoja anae mshangaa mwezie. Wote wanaviona hivyo viungo km viungo vingine vya mwili tu.

Lakini tuendako huko, miaka 100 mbele, kuna nchi zitaweka sheria ya watu wanaotaka uhuru wa kukaa uchi na kutembea wanavyotaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom