Tendo la ndoa: Kwanini hufanyika sirini

Tendo la ndoa: Kwanini hufanyika sirini

Sawa mkuu majibu mengi umeshapewa hapo juu , jibu lake linahitaj tu common sense , si unajua kuonekana viungo vya ndani ni fedheha flan hivi wewe unaviona vzur kwani ni vyakwako kuna mwengine akikiona cha kwako ataanza kukucheka na kuona km hakipo ktk ukamilifu

Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru mkuu Colin-morgan, kwa kujibu tena jibu lililo zuri na linaloridhisha!!

Sasa bado nitabaki ninajiuliza kuwa kwanini hivi viungo vya uzazi ama via vya uzazi ni fedheha kuvionyesha hadharani!!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ulishawahi kufanya hadharani kwa kuwa hakuna aliyekukataza!?

Au Je, wewe espy unaweza hadharani kwa kuwa haujakatazwa!?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanzo nilitamani kukuelewesha nikiamini unataka kueleweshwa. Lakini nimegundua hauhitaji kueleweshwa, unahitaji kitu kingine tofauti kabisa.

Hebu nikuulize, wewe unaweza kufanya hicho kitendo hadharani? Itakua vyema kama utaweka na sababu kwa jibu utakalolitoa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanafanyaga hadharani,kwa jina inaitwa kigodoro na kule nchini jamaica inaitwa pasapasa au daggering.
 
Nashukuru mkuu Colin-morgan, kwa kujibu tena jibu lililo zuri na linaloridhisha!!

Sasa bado nitabaki ninajiuliza kuwa kwanini hivi viungo vya uzazi ama via vya uzazi ni fedheha kuvionyesha hadharani!!?

Sent using Jamii Forums mobile app
Tumejaaaliwa akili , na kutofautishwa na wanyama na kupitia hizo hizo akili tukaweza kujistiri miili yetu

viungo vya uzazi ni ghaibu kuonekana mara kwa mara kwani vinaathiri hata uwelewa wa mtu , kiakili na uwezo wa kukariri watu washafanya hizo reserch

Hapo mkuu ni maelezo marefu sna utafanya tuingie hadi ktk dini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanzo nilitamani kukuelewesha nikiamini unataka kueleweshwa. Lakini nimegundua hauhitaji kueleweshwa, unahitaji kitu kingine tofauti kabisa.

Hebu nikuulize, wewe unaweza kufanya hicho kitendo hadharani? Itakua vyema kama utaweka na sababu kwa jibu utakalolitoa!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Kana, kama unalifahamu jibu sahihi tafadhali naomba unijibu nipate kuelewa!!

Binafsi siwezi kufanyia hadharani kwa sababu ndivyo nilivyozoea!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanzo nilitamani kukuelewesha nikiamini unataka kueleweshwa. Lakini nimegundua hauhitaji kueleweshwa, unahitaji kitu kingine tofauti kabisa.

Hebu nikuulize, wewe unaweza kufanya hicho kitendo hadharani? Itakua vyema kama utaweka na sababu kwa jibu utakalolitoa!

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ana majibu yake anayoyataka. Ukimjibu anakuja na swali lingine. Woooiiii!!
 
Mkuu Kana, kama unalifahamu jibu sahihi tafadhali naomba unijibu nipate kuelewa!!

Binafsi siwezi kufanyia hadharani kwa sababu ndivyo nilivyozoea!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mazoea hujenga tabia, tabia ndio msingi wa utamaduni. Utamaduni ni uwanja mpana wenye mila na desturi ndani yake!

Nadhani umepata kitu (kama una nia ya kupata kitu).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unamaanisha kuwa kuna maeneo hapa duniani ni rasmi kufanya tendo hilo hadharani!?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna jamii ambayo tendo la ndoa linafanyika hadharani mkuu.

Na kusema ni cultural behaviour hakumaanishi kuna wengine wanafanya hadharani..

But, in pyschology ambayo viumbe wengi wamekuwa nayo hata viumbe ambao sio wanadamu...

Binadamu yoyote amekuwa akiwa na fikra za kuwa lile tendo linalohitaji faragha ya watu wawili tuu na hii ndio imekuwa siri ya hilo tendo kufanyika kwa siri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom