Tendo la ndoa: Kwanini hufanyika sirini

Tendo la ndoa: Kwanini hufanyika sirini

Wanabodi,

Binafsi huwa sielewi kwanini ni busara kufanya tendo hilo sehemu ambapo hamtaonekana na mwingine yaani sirini!?

Je kuna ubaya gani kulifanya tendo hilo hadharani au sehemu ambapo kuna watu!?

Ni siri ipi hiyo ifichwayo!?

Karibuni!!

Sent using Jamii Forums mobile app

Nafikiri sababu kubwa ni kukwepa makalio yasipigwe na upepo
 
Wanabodi,

Binafsi huwa sielewi kwanini ni busara kufanya tendo hilo sehemu ambapo hamtaonekana na mwingine yaani sirini!?

Je kuna ubaya gani kulifanya tendo hilo hadharani au sehemu ambapo kuna watu!?

Ni siri ipi hiyo ifichwayo!?

Karibuni!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sababu linahusisha kugusanisha/kugusa sehemu za siri. Ndio maana hata katika kusafisha sehemu hizo kwa kunyoa au kupaka mafuta hufanyika kwa kificho yaani sirini.
 
Unataka lifanyike hadharani ili ugundue nini kipya mkuu?? Huwezi pingana na nature lasivyo jina na makao mapya yatahusika.
 
Binadamu alikula tunda la ujuzi wa mema na mabaya, kwahiyo anajua akifanya hili au lile mbele za watu laweza kua jema au baya. Ila wanyama wengine wao hawakula lile tunda, popote pale wao wanafanyana tu hawajui kama ni vyema kufanya hapo au ni vibaya.
 
Mke wa mtu ni mtamu sana, hasa mnapokuwa mnakutana kwa siri
 
Hivi kwanini zinaitwa sehemu.za siri mkuu!?

Ni siri gani hiyo!?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ulipokuwa unaumbwa tumboni mwa mama yako Mungu alikupa hekima na akili kama ilivyo kwa binadamu yeyote; hekima na akili vinakufanya utofautiane sana na viumbe wengine wasio navyo. Unajua kitu hiki ni chema kikiwa hadharani na hiki ni kibaya. Huwezi jifananisha wewe binadamu na paka au mbwa; wale hawana vitu hivi (hekima na akili ) ndiyo maana kila wanachokifanya wao wanaona ni sawa tu mbele ya walimwengu.

Kila mtu anawajibu wa kutunza na kutumia vifaa vyake pale vinapostahili tu. Vinginevyo lazima utakuwa na mapungufu kwenye ubongo.
 
Kwani mtu kuuliza usichokifahamu ni vibaya!?

Kama mkuu unaona jibu ni rahisi, kwanini usinieleweshe tu nami nikaelewa na kufurahia zaidi JF

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu majibu mengi umeshapewa hapo juu , jibu lake linahitaj tu common sense , si unajua kuonekana viungo vya ndani ni fedheha flan hivi wewe unaviona vzur kwani ni vyakwako kuna mwengine akikiona cha kwako ataanza kukucheka na kuona km hakipo ktk ukamilifu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kweli, hebu tafuta maana ya faragha. Ukiifahamu hautapata shida kuelewa kwanini tendo la ndoa halifanyiki hadharani.

Kuna tofauti kati ya "secret" na "privacy". Kindly find out what privacy means!

Sent using Jamii Forums mobile app
Maana ya neno faragha, kutoka katika Kamusi ya Kiswahili Sanifu, toleo la 3, ukurasa wa 109.
IMG_20180823_155353_475.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
We fanya tu kwani kuna alokukataza?
 
Back
Top Bottom