Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 6,392
- 8,295
Ngoja nipite kimya kimya!
Hahahaaa mbona unahasira na marehemu? Alikutoboa ugali nini? Punguza munkari utapata Basha mwingine wa kukuhudumiaUmuulize mama yako nani anamfokoa atakuambia. Pumbafu nyie malaika wa shetani mkuu aliyekufa Kwa kutokuvaa barakoa
Kama aliua hizo takataka nampa hekoAliuwa watu wengi sana. Hata waliompiga risasi tundu lissu hawajakamatwa mpaka leo.
Aliyofanya haya yanamuhukumu. Tulikuwa na rais kiazi kibichi. Rais mwehuView attachment 2362950
Inaonekana una stress sana!Kuna pimbi Fulani alituharibia nchi yetu.
Tunaendelea kumlaani ili asijetokea mpumbafu mwingine kama yule
Mtu wa kwenda mbinguni awe magu? Basi mungu asingehukumu sodoma na Gomorra.
Yule sijui alitokea wapi mpaka akafika ikulu akaanza kuuwa watu na kufunga tu bila sababu.
Limekufa tumefurahi sana.



Kwanini ulimpelekea ukapanua akakuachia hiyo mimba inayokutesa namna hii?Mbona unateseka namna hii?Alikuwa na visasi hawezi samehewa ana dhambi nyingi kuliko shetani
Kamuone daktari..Poti nikiona comments za kumtukana basi naongeza kufurahi naagiza mpaka bia ili mwili u relax
Ukiona unajisikia raha kumtukana mtu aliyetangulia mbele ya haki, then ujijue wewe ni mchawi ila tuu hujaanza kuloga! Angalizo kwa Wana JF: Tuwaepuke "Prophets Of The Doom", kauli zao huumba!Huwa najisikia Raha nikiona humu ndani magufuri anatukanwa.
Huwezi amini ametangulia mbele za haki
Tumefunzwa tusihukumu tusije tuka hukumiwa Tuacheni ramli chonganishi: Tusihukumu tusije tukahukumiwa. Karma ndio pekee hutoa hukumu ya haki hapa duniani!Inaonekana alikuwa na dhambi sana.
Kwanza moto wa motoni sio moto wa makaa ya mawe, ni moto wa kimiminika ambapo ni ziwa la moto maji yamechemka mpaka yamekuwa mekundu, wadhambi ndio wanatupwa huko na kuteseka milele!.Nadhani anaendelea kuungua kwenye makaa ya mawe.
Umasikini wako unakusababishia stres unataka kuumalizia kwa Magufuli?Umuulize mama yako nani anamfokoa atakuambia. Pumbafu nyie malaika wa shetani mkuu aliyekufa Kwa kutokuvaa barakoa
Kama wewe hukuua alikosea sana!Hutaki kufurahi. Furahi Kwa kumtukana mpumbafu marehemu aliyetunyima furaha miaka mitano.
Mimi nafurahi ssna mpaka nakula nyama choma.
Mseng.e aliuwa ndugu zetu wengi sana.
Kauwa watu wenye akili
Naona umemmiss sanaKamfuue aje aamrishe kiboya kama alivyokuwa anakurupuka kama anaharisha
Ila wewe jamaa ni mmoja wa watu wapumbavu hapa JF, mm ni mfuasi wa Magufuli na nilikuwa namkubali. Ila wewe ni mpumbavu Sana kwa kuwa kila mada unapoteza muda na kutumia nguvu kubishana na wajinga wa aina hii, ukipotezea unafikiri utaathrika nn? Au unapobishana unafikiri utambadilisha nn huyo mtu?Kamuone daktari..
Inaonekana wewe hata mumeo asiposimamisha akupande unamlaumu Magufuli
Ila wewe jamaa ni mmoja wa watu wapumbavu hapa JF, mm ni mfuasi wa Magufuli na nilikuwa namkubali. Ila wewe ni mpumbavu Sana kwa kuwa kila mada unapoteza muda na kutumia nguvu kubishana na wajinga wa aina hii, ukipotezea unafikiri utaathrika nn? Au unapobishana unafikiri utambadilisha nn huyo mtu?
Ukimpotezea hata yeye atajidharau, lengo la kuweka Uzi Kama huu ni watu Kama nyie mje kutukanana nae


Siyo kwa kupanic hukuCrimea umefanya jambo jema Sana kumshuhulikia huyo shoga mwenye chuki kuliko shetani anaedhani hao Marais wengine watu hakufa kwenye tawala zao jinga kabisa hili kituuSiyo kwa kupanic huku
Ugonjwa wa akili huanza taratibu jiangalie usije ishia milembeHongera sana waanxilishi wa jamii forum.
Huwa najisikia Raha nikiona humu ndani magufuri anatukanwa.
Huwezi amini tuna viongozi watatu wameyangulia mbele za haki.
Nyerere, mkapa na magufuri
Anaye pondwa na kutukanwa sana ni magufuri tu. Hebu fikiria hii wanamwita alikuwa kiazi kibichi.
Yaani alikuwa kiazi Tena kibichi.
Mwehu, kichaa, mpumbafu yaani Kila aina ya tusi.
Inaonekana alikuwa na dhambi sana. Nadhani anaendelea kuungua kwenye makaa ya mawe.
Nafurahi sana
