nditolo
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 3,802
- 4,458
- Thread starter
- #21
Amekwisha kuhukumiwa aliyoyafanya yamejidhihirisha kuwa alikuwa muuwaji.Lakini njia za Mungu wala si zetu wanadamu, tusimfanyie hukumu kwani hukumu na kisasi ni vyake yeye
Kain alipomuuwa Abel alihukumiwa kwa kukataliwa na mungu.
Maandiko yanasema baada ya kifo ni hukumu. Magufuri amekwisha hukumiwa.