nditolo
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 3,802
- 4,450
- Thread starter
- #61
Kichaa alipewa kisu, manina akadukua mpaka mawasiliano ya wastaafu Hadi waziri akanyoshewa siraha.Kweli JPM ni kiboko yenu, yn mpaka maiti bado mnaichinja ety tunamuua.
Nchi ilikuwa mikononi mwa kichaa.
Mbunge anapogwa risasi hadharani unategemea nini.
Alikuwa kichaa mwehu