Tenda wema nenda zako

Tenda wema nenda zako

bora yeye katangulia na aliowapiga risasi ili wafe kafa yeye wenyewe wapo wanakula maisha. Muogope Mungu
Kufurahi kwako itakusaidia nini mkuu? Kila nafsi itaonja umauti, na hakuna atakaebakia ila Allah peke yake.
a
 
Hongera sana waanxilishi wa jamii forum.

Huwa najisikia Raha nikiona humu ndani magufuri anatukanwa.
Huwezi amini tuna viongozi watatu wameyangulia mbele za haki.

Nyerere, mkapa na magufuri
Anaye pondwa na kutukanwa sana ni magufuri tu. Hebu fikiria hii wanamwita alikuwa kiazi kibichi.

Yaani alikuwa kiazi Tena kibichi.

Mwehu, kichaa, mpumbafu yaani Kila aina ya tusi.

Inaonekana alikuwa na dhambi sana. Nadhani anaendelea kuungua kwenye makaa ya mawe.

Nafurahi sana
Boss wewe utaenda mbinguni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom