Sikudokoa Mboga yako
JF-Expert Member
- Mar 13, 2022
- 462
- 953
You sound to be a fool and Idiot too by failing to mention the name of the late president Magufuli well. I mean you've a problem of mixing L and R. By the way his name was "Magufuli" not "Magufuri".Hongera sana waanxilishi wa jamii forum.
Huwa najisikia Raha nikiona humu ndani magufuri anatukanwa.
Huwezi amini tuna viongozi watatu wameyangulia mbele za haki.
Nyerere, mkapa na magufuri
Anaye pondwa na kutukanwa sana ni magufuri tu. Hebu fikiria hii wanamwita alikuwa kiazi kibichi.
Yaani alikuwa kiazi Tena kibichi.
Mwehu, kichaa, mpumbafu yaani Kila aina ya tusi.
Inaonekana alikuwa na dhambi sana. Nadhani anaendelea kuungua kwenye makaa ya mawe.
Nafurahi sana
